nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,450
Toka Lema (KCM) mpaka Ibanda (Junction) toka tupate uhuru hajawahi kuziona bomba za maji tatizo ni ccm hapo ni pamoja na Usale. Nenda Mwaya (Mmwaja- Ndola, Lupando, Lughombo, Ilondo, Mbeghele, Kyangala,) kote huko hawayajui maji salama bado wanakunywa pamoja na Nyani. Lughombo-Nsesi, Ngonga, Butangali, Katumba - Songwe, Isanga, Lubaga, Ikolo kote maji hakuna wala barabara. Jamani Chadema njooni huku watu wanahitaji mabadiliko. Piteni kote huko mpaka Kasumulu Border tunawaitaji sana hasa kipindi hiki ambacho sisiemu wanataka kubadilisha rasimu ya wananchi na kuleta rasimu ya sisiemu.
Mungu awape nguvu tunawaitaji sana.
Mungu awape nguvu tunawaitaji sana.