Kwenye Ndoa Hamna Mashindano

Kwenye Ndoa Hamna Mashindano

Dengue

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
2,050
Reaction score
1,469
Nani amekwambia ndani ya ndoa kuna, mashindano ya Miss Tanzania? Ndoa haina Lundenga kama Jaji. Ni wewe na Yeye basi. Mtu anapochagua ''kituko chake'' MUACHE, yeye ndoa najua kwanini kile Kituko kinamfaa kuwa Mke. Mkesio Muonekano wa nje, mke ni Akili yake ikoje makalio hayaendeshi ndoa,just incase you didnt know. Na nyie Wanaume mnaoshangaa mwanamke anapoamua kuolewa na 'sura ya mjomba' na kuanza kumnanga 'Shosti nae ndo nini kuolewa na mtu mfupi kama Kashata za Magomeni', Muache na Kashata yake,anajua ataitengenezea Kahawa na ndoa itakuwa tamu.

Wanawake wenye akili huwa hawachagui misuli na 6packs wala sura nzuri, wanachagua mtu mwenye Productive heart,anaweza kuwa maskini sasa lakini ndani yake kuna Utajiri ambao magube-gube hawauoni ila yeye ameuona na ana uhakika atauvumbua siku moja. Wewe kaa hapo sagula-sagula sura kama uko mitumbani Karume halafu uone kama hujaibuka na ndondocha la kihindi.
 
You is wrong! AS PEOPLE WE HAVE THE RIGHT AND THE OBLIGATION TO TALK TILL IT IS NOT FUN TO TALK ABOUT IT NO MORE! Come on what do u expect BOASTIN N CONSTANTLY TRY TO RUB IN OUR FACES THAT YOUR ARE BETTER THAN US!? We will trear u n ya lousy bf apart.
 
Duh! Ndondocha la kihindi, tehtehtehh!
nimecheka mie asubuhi asubuhi, chezea kashata za magomeni lol!
 
You is wrong! AS PEOPLE WE HAVE THE RIGHT AND THE OBLIGATION TO TALK TILL IT IS NOT FUN TO TALK ABOUT IT NO MORE! Come on what do u expect BOASTIN N CONSTANTLY TRY TO RUB IN OUR FACES THAT YOUR ARE BETTER THAN US!? We will trear u n ya lousy bf apart.
Honestly sijaelewa hapa
 
Vipi tena? Umekamata news za kitaa zinazowahusu nini?
 
Nani amekwambia ndani ya ndoa kuna
Mashindano ya Miss Tanzania???Ndoa haina
Lundenga kama Jaji..Ni wewe na Yeye basi...Mtu
anapochagua ''kituko chake'' MUACHE,yeye ndoa
najua kwanini kile Kituko kinamfaa kuwa Mke..Mke
sio Muonekano wa nje,mke ni Akili yake ikoje...Makalio hayaendeshi ndoa,just incase you
didnt know. Na nyie Wanaume mnaoshangaa
Mwanamke anapoamua kuolewa na 'sura ya
mjomba' na kuanza kumnanga 'Shosti nae ndo
nini kuolewa na mtu mfupi kama Kashata za
Magomeni',Muache na Kashata yake,anajua ataitengenezea Kahawa na ndoa itakuwa
tamu...Wanawake wenye akili huwa hawachagui
Misuli na 6packs wala sura nzuri,wanachagua mtu
mwenye Productive heart,anaweza kuwa maskini
sasa lakini ndani yake kuna Utajiri ambao
magube-gube hawauoni ila yeye ameuona na ana uhakika atauvumbua siku moja...Wewe kaa hapo
sagula-sagula sura kama uko mitumbani Karume
halafu uone kama hujaibuka na ndondocha la
kihindi....

Atleast ungetoa credit to original author.
Umekopi na kupest
 
Kwa kuwaumbua watu tu, huwa nakuaminia
Ngoja tusubiri


Hii kitu kama naisoma mara ya pili hapa jamvini...kuna mtu mmoja anajiita mama la mama kama aliiweka hapa jana au juzi.

Hebu ngoja kwanza...
 
Last edited by a moderator:
www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/595112-nani-amekwambia-ndani-ya-ndoa-kuna-mashundano-ya-miss-tz-by-seth-3.html

Wewe unaoina mara ya pili wengine wanaona kwa mara ya kwanza. Tuliza ball basi acha tantalila.
 
Back
Top Bottom