frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Habar wakuu
Nimekutana na tangazo la gharama za kwenda hija mwaka huu kama juu inavyosomeka $ 4,400.
Kwahali hii wa tandale wenzangu n.k wataweza kuhiji kweli?, kwanini BAKWATA na mashirika mengine ya dini wasiweke utaratibu kama wa nchi nyingine au Nigeria kusaidia gharama au kutafuta alternative za kupunguza gharama hili waislam weng waende hijja.
Nimtazamo tuu, twawezaboresha....
Asante.
SIKUKUU NJEMA YA WAKULIMAMAKAMPUNI.
Nimekutana na tangazo la gharama za kwenda hija mwaka huu kama juu inavyosomeka $ 4,400.
Kwahali hii wa tandale wenzangu n.k wataweza kuhiji kweli?, kwanini BAKWATA na mashirika mengine ya dini wasiweke utaratibu kama wa nchi nyingine au Nigeria kusaidia gharama au kutafuta alternative za kupunguza gharama hili waislam weng waende hijja.
Nimtazamo tuu, twawezaboresha....
Asante.
SIKUKUU NJEMA YA WAKULIMAMAKAMPUNI.