bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,133
- 1,668
Habari ya blue Monday wapendwa katika Bwana, hope weekend ilikuwa poa, japo mjadala wa posho na matokeo ya F4 unaendelea badala ya rasimu ya katiba mpya ambayo ndo mstakabali wa nchi! back to the topic
nimekuwa nikihangaika kupata kiwanja mjini moshi bana for quite long, kila "kakiwanja" kakipatikana naambiwa 8, 6, minimum kabisa 5m ukubwa sasa utacheka ukijenga room ngapi tu hata shimo la taka huwezi chimba
sasa nishawahi kuwa na mchuchu wa kichaga bana, nikamuuzia aidia, haaa si akakumbuka kuna x wake mwingine - baada yangu - ana viwanja kama vitatu na alishaskia anauza kimoja, so ikambidid amrudie bana, jamaa bado anamind mzigo, dogo kumcheki mchuchu akapagawa, mchuchu kamwambie leo nimekuja kibiashara zaidi, natafuta uwanja nijenge
Mwanawane, fasta dogo kakurupika, nipe 6m ninakiwanja kizuri na kiko surveyed (25 kwa 30). Mchuchu kalegeza jicho kidogo, na kuongea kimahaba, mi nina 2m nyingine niongezee mwenyewe.
ha ha ha ha, guess kilichotokea,
Jamaa fasta, we lete hiyo hela hakuna shida me na wewe.
Sikulaza damu hapo, akaitwa m/kiti, na mashahidi na nini, business likafanyika.
Jioni jamaa akamualika demu mambuo, kufika demu akasema hapa magumashi, wakahamia chumbani wapi kule sijui, heee dem si karudi na laki 5 kabisa ya kumwaga mawe na matofali!
Nikasema kweli papuchi so, cha msingi nimepata kiwanja we endelea na starehe zako inaonekana jamaa alikuwa bado anakupenda,
ni hayo tu. msiwe mnaachana na wapenzi wenu kwa mangumi na mateke na kununiana, kama mlianza kwa kukubaliana achaneni kwa kukubaliana, hata mkikutana mnasaidiana.
nimekuwa nikihangaika kupata kiwanja mjini moshi bana for quite long, kila "kakiwanja" kakipatikana naambiwa 8, 6, minimum kabisa 5m ukubwa sasa utacheka ukijenga room ngapi tu hata shimo la taka huwezi chimba
sasa nishawahi kuwa na mchuchu wa kichaga bana, nikamuuzia aidia, haaa si akakumbuka kuna x wake mwingine - baada yangu - ana viwanja kama vitatu na alishaskia anauza kimoja, so ikambidid amrudie bana, jamaa bado anamind mzigo, dogo kumcheki mchuchu akapagawa, mchuchu kamwambie leo nimekuja kibiashara zaidi, natafuta uwanja nijenge
Mwanawane, fasta dogo kakurupika, nipe 6m ninakiwanja kizuri na kiko surveyed (25 kwa 30). Mchuchu kalegeza jicho kidogo, na kuongea kimahaba, mi nina 2m nyingine niongezee mwenyewe.
ha ha ha ha, guess kilichotokea,
Jamaa fasta, we lete hiyo hela hakuna shida me na wewe.
Sikulaza damu hapo, akaitwa m/kiti, na mashahidi na nini, business likafanyika.
Jioni jamaa akamualika demu mambuo, kufika demu akasema hapa magumashi, wakahamia chumbani wapi kule sijui, heee dem si karudi na laki 5 kabisa ya kumwaga mawe na matofali!
Nikasema kweli papuchi so, cha msingi nimepata kiwanja we endelea na starehe zako inaonekana jamaa alikuwa bado anakupenda,
ni hayo tu. msiwe mnaachana na wapenzi wenu kwa mangumi na mateke na kununiana, kama mlianza kwa kukubaliana achaneni kwa kukubaliana, hata mkikutana mnasaidiana.