Kweli wabongo wamechoka duh!

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
7,390
10,857
FB_IMG_1496067199613.jpg
Sio kwa comment hiyo
 
Unaendaje? HII HAINA maana, kuingia ilikuwa ni 1500 tu kwa Mtanzania, usafiri kwa gari ni zaidi ya laki 1, SASA mimi nauliza, inasaidiaje?
Mi nadhani idea sio nauli,tatizo ni kujua kitu cha bure watu weng wanareact sana na Vitu vya bure japokua UA kuna undercarriage cost ambazo watu awazitilii maanani,..wanaweka awareness tu apo watu wajaribu kwenda mbugani ni kama kumtumia kikwete au icon yoyote kustimulate sales
 
Aseeh itasaidia soko LA ndan kwa utalii lakin,ni vyema sana,
Haiwezi saidia chochote, kumbuka wametoa ofa kwa kuondoa enterance fee ambayo hata muuza mchicha haiwezi mshinda kulipia. Jiulize ni wangapi wenye uwezo wa kumudu gharama za usafiri na malazi kwenda huko?
 
Unampa ofa mtu ambaye hajui original price ni sh ngapi! This is ubsurd... Mtu ambaye hata hajui kiingilio cha kuingia mbugani ni sh ngapi, ina maana hata hiyo haja ya kwenda huko mbugani, hana. So far, swala sio kiingilio but means ya kufika huko Mbugani... Say mtu unatoka Dar mpaka ufike Serengeti let say na private car, ushatumia si chini ya milioni moja kwa ajili tu ya mafuta ya kwenda na kurudi. So if you can afford that, hata kiingilio kiwe buku hamsini, that means you will also afford it.
 
Haiwezi saidia chochote, kumbuka wametoa ofa kwa kuondoa enterance fee ambayo hata muuza mchicha haiwezi mshinda kulipia. Jiulize ni wangapi wenye uwezo wa kumudu gharama za usafiri na malazi kwenda huko?

Si ndo maana wakaweka bure ili iyo nyingine uweke kweny usafiri,
 
Mi nadhani idea sio nauli,tatizo ni kujua kitu cha bure watu weng wanareact sana na Vitu vya bure japokua UA kuna undercarriage cost ambazo watu awazitilii maanani,..wanaweka awareness tu apo watu wajaribu kwenda mbugani ni kama kumtumia kikwete au icon yoyote kustimulate sales

kwnye mapato ya hii sekta watanzania are total our of sales?! no IMPACT
 
Vya bure, ghali ukifika kule unatembea kwa Miguu? Tena mbuga zingine ukienda hizo za bure utaona panzi tu na nyani bhasi
 
Je, kuna booking kabla ya kwenda? Kama nikwenda tu bila booking na mwitikio ukawa mkubwa watamudu (wana services za kutosha)?

Hivi sasa hivi watu wengi wana disposable income?
 
Usalama WA watu itakuwaje? Au wanataka watu wakaliwe na Simba kama jamaa aliyereply kwenye tweet ya January?.
 
Back
Top Bottom