Aseeh itasaidia solo LA ndan kwa utalii lakin,ni vyema sana,
Mi nadhani idea sio nauli,tatizo ni kujua kitu cha bure watu weng wanareact sana na Vitu vya bure japokua UA kuna undercarriage cost ambazo watu awazitilii maanani,..wanaweka awareness tu apo watu wajaribu kwenda mbugani ni kama kumtumia kikwete au icon yoyote kustimulate salesUnaendaje? HII HAINA maana, kuingia ilikuwa ni 1500 tu kwa Mtanzania, usafiri kwa gari ni zaidi ya laki 1, SASA mimi nauliza, inasaidiaje?
Haiwezi saidia chochote, kumbuka wametoa ofa kwa kuondoa enterance fee ambayo hata muuza mchicha haiwezi mshinda kulipia. Jiulize ni wangapi wenye uwezo wa kumudu gharama za usafiri na malazi kwenda huko?Aseeh itasaidia soko LA ndan kwa utalii lakin,ni vyema sana,
Haiwezi saidia chochote, kumbuka wametoa ofa kwa kuondoa enterance fee ambayo hata muuza mchicha haiwezi mshinda kulipia. Jiulize ni wangapi wenye uwezo wa kumudu gharama za usafiri na malazi kwenda huko?
View attachment 516147Sio kwa comment hiyo
Mi nadhani idea sio nauli,tatizo ni kujua kitu cha bure watu weng wanareact sana na Vitu vya bure japokua UA kuna undercarriage cost ambazo watu awazitilii maanani,..wanaweka awareness tu apo watu wajaribu kwenda mbugani ni kama kumtumia kikwete au icon yoyote kustimulate sales
kwnye mapato ya hii sekta watanzania are total our of sales?! no IMPACT
hyo ID yko cjui itakuwa ni ww ninayekufahamu au laUsalama WA watu itakuwaje? Au wanataka watu wakaliwe na Simba kama jamaa aliyereply kwenye tweet ya January?.