jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,646
Kama una muda endelea kukomaa tu man, ukitoboa tushtuane na mimi nitafute some Boricua or Morena.
Yeah, kama ana muda na amedhamiria.Kama anao muda???
Wewe ni mtanzania au? unakaa ukifuatilia hayo mambo kabisaa, hafu ukute mtu mwenyewe wa Tandale.
Online dating: Hivi hizi online dating huwa zinamafanikio kweli kwani nimekua nikihusisha na dating kwa njia ya mitandao kama afrointroduction.com,fillipinocuspid.com ila hasa hii ya fillipinocuspid.com humu ampapo kuna wadada wa kifilipino.
Sasa nilikua nataka kujua kama kuna mdau ashawahi kupata mke au mchumba kupitia hizi online dating,ili nisije nikawa napoteza muda tu bure.
Ushauri wakuu
Mpenzi unapata kirahisi tu ila siyo mke.
Umri wako unakuruhusu komaa kijana.
Online dating: Hivi hizi online dating huwa zinamafanikio kweli kwani nimekua nikihusisha na dating kwa njia ya mitandao kama afrointroduction.com,fillipinocuspid.com ila hasa hii ya fillipinocuspid.com humu ampapo kuna wadada wa kifilipino.
Sasa nilikua nataka kujua kama kuna mdau ashawahi kupata mke au mchumba kupitia hizi online dating,ili nisije nikawa napoteza muda tu bure.
Ushauri wakuu
Mademu wa mitandaoni wengi sura mbuzi, na mara nyingi ni mifupa ilowashinda fisi!!
ukiona mdada wa mtandaoni anakuganda sana, jiulize maswali mengi!!