Nlikua na mpenz wangu nampenda sana cha ajabu kaniacha nakuoa mwanamke mwingine na akuna nlichowah mkosea alinbadirikia ghafla. Nkakumbuka ule usem wa unaempenda akupendi......tatizo ni bado nampenda na cjui nifanyaje....ushauri wenu wana jf
Cpatiii mkuuu
tangaza nia hapa watakuja, au bado hujatoka kwenye kipindi cha kuskilizia machungu
Itakuwa vizuri akitake break kabla hajaamua kuwa na uhusiano mpya. Kwa sasa moyo bado una maumivu. Muda huu utumie vizuri kumshirikisha Mungu ili akupe mume wa ndoto zako, uliyepangiwa na Mungu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Maumivu ayajapoa nitangaze nia!!
hili ni tangazo la nafasi tu apply au...nlikua na mpenzi wangu nampenda sana cha ajabu kaniacha nakuoa mwanamke mwingine na akuna nilichowahi mkosea alinbadirikia ghafla.
Nkakumbuka ule usemi wa unaempenda akupendi, tatizo ni bado nampenda na sijui nifanyaje.
Ushauri wenu wana jf
inapofika swala la kuoa wanaume wanakuwaga hivyo kuna kitu kinaitwa wife material, mtu anaweza acha mpenzi wake na kwenda kwa mdada usiyetarajia maana keshachunguza na kuona aliyenaye anampenda ila kwa kuwa wife huyo mwingine ndiyo atafaa zaidi, kama ungekuwa wife material kwake angekuoa, ila usijali maana yuko atakayekuona wife material, badala ya kuumia na kufikiria mpenzi ambaye keshaoa, wewe jiandae kwa atakayekuja, kwa kujiandaa namaanisha jiweke mkao wa kuwa wife, kitabia na mambo mengine. Kutokuoa wewe haimaanishi hakupendi na hata kubadilika inaweza kuwa alijihami tu aliogopa ukimbana anaweza asikurupuke.Nlikua na mpenzi wangu nampenda sana cha ajabu kaniacha nakuoa mwanamke mwingine na akuna nilichowahi mkosea alinbadirikia ghafla.
Nkakumbuka ule usemi wa unaempenda akupendi, tatizo ni bado nampenda na sijui nifanyaje.
Ushauri wenu wana JF
inapofika swala la kuoa wanaume wanakuwaga hivyo kuna kitu kinaitwa wife material, mtu anaweza acha mpenzi wake na kwenda kwa mdada usiyetarajia maana keshachunguza na kuona aliyenaye anampenda ila kwa kuwa wife huyo mwingine ndiyo atafaa zaidi, kama ungekuwa wife material kwake angekuoa, ila usijali maana yuko atakayekuona wife material, badala ya kuumia na kufikiria mpenzi ambaye keshaoa, wewe jiandae kwa atakayekuja, kwa kujiandaa namaanisha jiweke mkao wa kuwa wife, kitabia na mambo mengine. Kutokuoa wewe haimaanishi hakupendi na hata kubadilika inaweza kuwa alijihami tu aliogopa ukimbana anaweza asikurupuke.