leo jioni nimekatiza maeneo ya magomeni mataa pale kwene kituo cha kujazia mafuta
chemba imeziba maji taka yanarangi na harufu mbaya sana inatoka na inafika hadi maeneo ya karibu na geti la Hotel Travetine daaaaah
Sasa hilo ni swali au? Sikuelewi. Kwanza naona hiyo sentensi inatoa taarifa kuwa "Kwa hali hii tutasalimika na kipindupindu." Lakini nikikuchungulia nahisi hilo ni swali. Umeandika maneno yote hayo umeshindwa kuweka alama ya kiulizo tu? Hata kuandika ni shida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.