Kweli tutasalimika na kipindupindu

Kweli tutasalimika na kipindupindu

mkongwe47

Member
Joined
May 2, 2014
Posts
18
Reaction score
6
Kwa hali hii tutasalimika na kipindupindu
 

Attachments

  • 1441290179168.jpg
    1441290179168.jpg
    73.1 KB · Views: 355
leo jioni nimekatiza maeneo ya magomeni mataa pale kwene kituo cha kujazia mafuta
chemba imeziba maji taka yanarangi na harufu mbaya sana inatoka na inafika hadi maeneo ya karibu na geti la Hotel Travetine daaaaah
 
Kwa hali hii tutasalimika na kipindupindu

Sasa hilo ni swali au? Sikuelewi. Kwanza naona hiyo sentensi inatoa taarifa kuwa "Kwa hali hii tutasalimika na kipindupindu." Lakini nikikuchungulia nahisi hilo ni swali. Umeandika maneno yote hayo umeshindwa kuweka alama ya kiulizo tu? Hata kuandika ni shida?
 
Back
Top Bottom