Kweli slaa alishinda urais!!

yani we ndo unajua leo??? j k alichaguliwa na Rajab Kravu,Lewis makame,Said Mwema na gen shimbo na mwamunyange bila kumsahau jack zoka!!
 

Kaka mimi nakuunga mkono.
 
Duh kweli wajinga wali wao, ule umati wewe waliofika pale si wapiga kura ungeuliza wangapi waliojiandikisha na kupiga kura ungeshangaa idadi yao ilivyo ndogo, ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi mzee !

Unadhani walifika pale si wapiga kura? Naamini ni wapiga kura maana kwa takwimu za NEC waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 19 lakini waliopiga ni milioni 8 tu!

Jiulize, kwa nini wengi hawakupiga kura? Ukipata jibu fuatilia Mubarak na Ben Ali walipata asilimia ngapi. Ndipo utajua kuwa uchakachuaji upo na wapigakura wengi (ambao hawakupiga kura) wanajua kuwa hata kama wangepiga bado kura zao zisingegeuza matokeo matokeo yangepikwa kuwapendelea watawala.
 
[video]http://www.facebook.com/#!/video/video.php?v=134037826662576&comments[/video]
 
hivi wewe ni mtz au vipi?hizi habari za udini wa chadema zinatoka wapi?
 
ZITO mtoe, hakuna mwislam atakayepewa nafasi ya kugombea urais CHADEMA mnyika sawa ni kijana wao wa kikatoliki wamemkuza wenyewe
Tatizo lako umelishwa sumu ya kutokuweza hata kufikiri na kutafakari kwa namna yoyote ile na hao viongozi wako wa CCM. Udini unatoka wapi ndani ya CHADEMA? Hivi wewe hujauona udini ulivyoota mizizi ndani ya CCM hadi kufikia kulumbana wenyewe kwa wenyewe kupitia kwenye magazeti ya kidini kuwa Wana-CCM wakristo wanamhadaa Rais kikwete ili afanye vibaya katika uongozi wake kwa lengo la kuuonyesha umma kuwa Waislam hawawezi uongozi kwani kila kunapokuwa na rais Mkristo mambo huwa yanaenda vizuri.
Acha kukurupuka ndugu yangu katika kuchangia mada hizi, tafuta kupata ukweli kwanza.
 

kumbe mzee tupa tupa sometimes hua unasimamia kwenye uhalisia :car:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…