CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Kumbe jeshi la polisi kuzuia maandamano walijua serikali itaumbuka, na sio folen. Kwenye huu mkutano wao wa amani uliofanyika leo manzese watu waliohudhuria ni wachache sana, pamoja na kuwepo kwa mrema, mbatia,.. wangeandamana kama walivyopanga cjui wangejitokeza watu wangapi?