Jamaa yangu mmoja alikutana binti kama huyo katika mazingira kama yako, wakati huo alikuwa bado anajifanya mzee wa malavidavi na kusamehe saba mara sabini, alimsamehe huyo binti baada ya siku moja kumtendea kama alivyokutendea wewe... nakuambia hakubadilika kwa miaka miwili iliyofata, usumbufu ulikuwa ule ule anabadilisha watu tu wa kutoka nao, na kila wakati yeye ni samahani..... achana nae...huyo kimeo hafai!! jamaa kammwaga binti kitambo, sasa kawa kauzu baada ya kutambua kuwa siku hizi mapenzi hayana forumula ya kuyahandle... waweza kumtendea kila jambo jema mpenzio na ukajituma hasa kunako 6X7.. akiamua kaamua tu....