Kweli nimeamini mwenyekiti akisema ni amri!,

Kweli nimeamini mwenyekiti akisema ni amri!,

Joined
Aug 27, 2014
Posts
15
Reaction score
5
Wadau nimemsikia mzee Ngwilizi akisema wao wameamua zibaki serikali mbili ila wajue wenzetu wanajichagulia serekali na wanamambo yao wamekua wakitubagua hadharani na kutuchagulia raisi kamwe haitovumilika kuona eti chetu chao wakati chao ni chao!muda wa kuidai nchi mojaunakuja au Tanganyika irudi ili heshima ya sawa kwa sawa pande zote za nchi yetu!mwenyekiti aliongea wao wametekeleza ila Watanganyika na ubaguzi wa waunguja na wapemba sijui kama tutafika salama!Nashauri katiba ya Zanzibar irekebishwe LA sivyo tujiandae kuandika katiba mpya baada ya huu uozo kupitishwa na mwenyekiti wa CCM!nawasilisha
 
Back
Top Bottom