Tena sana coz unajua ni mvumilivu harafu ananiheshimu sana, harafu akisikia mwanamke mwenzake malaya anamchukia mpaka basi.Na akisikia mwanamke mwenzake kamkimbia mume sababu ya maisha magumu anasikitika sana.Halafu ukoo wao umebarikiwa maana wanawake 95% wanazeeka na waume zao
Ndiyo ngao yako hiyo kujitetea? Ulikuwepo wakati mungu anapanga? Acha kusingizia mungu/miungu hii ni result ya tamaduni mufilisi wala halipo spiritually. Baada ya miaka kadhaa wanaume hatutokuwa tena na sauti juu ya hii suala kuona wanawake wengi kadiri tunavyotaka. Tunawanyanyasa wanawake kwasababu hawapo huru financially
Jidanganye hivyo hivyo kuna familia zimebarikiwa, nina shemeji zangu tisa wote wanazeeka na waume zao wakati waume zao maisha magumu mpaka mi najiuliza wanapewa nini mpaka anavumilia kiasi hicho?