maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,416
- 3,236
- Thread starter
-
- #21
Jidanganye hivyo hivyo kuna familia zimebarikiwa, nina shemeji zangu tisa wote wanazeeka na waume zao wakati waume zao maisha magumu mpaka mi najiuliza wanapewa nini mpaka anavumilia kiasi hicho?watu tumebikiri hao madem mwisho wa siku katiwa mimba na mtu mwingine
Tatizo lako umeshazoea wale wanawake unapiga mruzi tu akigeuka unamkonyeza basi umeshaliza,kesho kutwa unaenda kugonga.Pole sana kaka maana umeshagongewa sana mpaka umekua suguKumbe hujui kitu kuhusu wanawake...
kwani mkiishi hivyo ndo unapendwa sana?
au yeye ana ma sp
onsor wake 'wanajazia' pale
unaposhindwa?
Mwanamke anaweza kushika mimba za wanaume wa 4 kwa mpigo??? kama inawezekana sawaPolygamy hii, dini ina-encourgae hili suala kwa sababu za kitamaduni tu wala si kwadababu ya kiroho. Well, sasa ndugu unataka uoe mke wapili, halafu utaenda watatu, wanne... ili iweje wakati unasema bibi wako ni MZURI anakufaa kwa kila kitu? Unataka uone mwingine upate sifa na uwafurahishe wapendwa wako katika imani?
Mimi kwamtazamo wangu haya masuala kuoa wake wengi kwasababu eti dini inasema haiana mashiko yoyote spiritually. Hii mambo kazi yake nikutetea na kuimarisha MFUMO DUME.
Tuki-encourage mume kuoa zaidi ya mke mmoja si sawa tu wanawake nawao wakawa na mume zaidi ya mmoja na jamii ione sawa tu?
Hivi kabla ya hii imani babu zetu walikua wanajimilikisha wangapi vilee???Hii polygamy wanawake huwa hawaipenda ila basi kulingana na imani fulan lkn moyoni huwa wanaikubali kwa shingo upande.
Kiukweli mm wake wawili hapana. 1 tu ananitosha hata km nikipew bure siwezi kuoa wake wawili.
Daaaah we jamaa noma...omba tu mungu lakinTatizo lako umeshazoea wale wanawake unapiga mruzi tu akigeuka unamkonyeza basi umeshaliza,kesho kutwa unaenda kugonga.Pole sana kaka maana umeshagongewa sana mpaka umekua sugu
Nina mwaka wa sita na unaelekea mwaka wa saba mwakani inshaalah.Ndoa yetu ina miaka miwili lakini maisha ya uchumba tumeishi miaka minne.Mi noma namchunguza mwanamke mpaka jinsi anavyopiga chafya,halafu ndio kwanza nini miaka 30 kamiliDaaaah we jamaa noma...omba tu mungu lakin
Hapo ndiyo unadhani umefikiria sawasawa? Kwani haiwezekani mwanamke akapata watoto kwa wanaume wote wanne kwa wakati tofauti? Usikariri angalia mambo logicallyMwanamke anaweza kushika mimba za wanaume wa 4 kwa mpigo??? kama inawezekana sawa
Hata kumi kulingana na uwezo wake. Sasa hiv tupo 2016 kwa hiyo mambo yamebadilika.Hivi kabla ya hii imani babu zetu walikua wanajimilikisha wangapi vilee???
Pamoja na kwamba anakupenda sana, maana yake nyingine ni kwamba haipendi dini yako inayoagiza kuoa mitala!Asalaam aleykum!
Kutokana imani yangu ya kua ni muislamu ninaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,basi siku moja baada ya kumaliza kula na mke wangu tukawa tunapiga stori mbili tatu.Baadae mke wangu akaniuliza "hivi mme wangu unapenda kuoa mke wa pili?Mimi nikamjibu kwa maisha ya sasa yalivyo siwezi kuoa mke wa pili lakini mambo yakiwa mazuri naweza kuoa mke wa pili.Nilivyomjibu hivyo basi akaniangaliiiiiiia halafu akanitamkia maneno yafuatayo;
"kama hivyo basi bora tuishi maisha ya chini lakini niwe peke yangu"
Haya maneno nikiyakumbuka hua yaninipa faraja sana na kuamini kweli wanawake wanaopenda wanaume kwa dhati wapo.Hii ndio sababu pekee ambayo nikitaka kuoa mke wa pili nitaweka vipengele vigumu vya kimkataba ambavyo vitamlinda mke wangu wa kwanza.Jamani kupendwa raha sana isitoshe mwanamke mwenyewe ni mzuri wa tabia,umbo na sura yaani my wife ni shombe shombe rangi rangi,nywele nywele na sauti ndio daah!Mashaalah.
NB;Inabidi kumuomba sana mungu ili kuweza kuvishinda vishawishi maana mke wako hata akiwa mzuri lazima utatamani mwingine.
Ha ha haaaa itabidi usubili myaka ya kulea nawee ukaweke yako kwa mwanaume hata kwa usiku 1 tu unatosha kwa wote 4 ndo hekima ya mume 1 wake wengiHapo ndiyo unadhani umefikiria sawasawa? Kwani haiwezekani mwanamke akapata watoto kwa wanaume wote wanne kwa wakati tofauti? Usikariri angalia mambo logically
Hakuna hekima hapo. Ukweli ni rahisi tu....tamaduni zinazodidimiza wanawake mbele ya wanaume lengo lake ni kufurahisha MFUME DUME. Sisi wanaume tunaumizwa na ubinafsi ndiyo maana tunaona chochote kinachomnyanyua mwanamke ni hatari kwenye masilahi yetu. Jambo zuri ni kwamba wanawake wanainuka, sasa hivi wanapinga waziwazi tu huo ujinga wa polygamy eti mwanaume aoe tu hata wanawake 10 mwanamke akiamua kuwa nawanaume zaidi ya mmoja inaonekana ushetani. Hii tamaduni haitapita muda mrefu itavunjwavunjwa kadiri wanawake wanavyokuwa huru financiallyHa ha haaaa itabidi usubili myaka ya kulea nawee ukaweke yako kwa mwanaume hata kwa usiku 1 tu unatosha kwa wote 4 ndo hekima ya mume 1 wake wengi
Kaka pole sana inaonyesha umeshagongewa tena zaidi ya mbili so huwezi kuaminiWeka picha
Kweli unamuheshimu mkeo mkuu?!!!!Sio kwa mke wangu mimi ndio mwanaume wake wa kwanza na nimembikiri mwenyewe,wewe umekua pretender coz ulishaumizwa sana so unafikiri wote mko sawa
Akili za DDC izoAsalaam aleykum!
Kutokana imani yangu ya kua ni muislamu ninaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,basi siku moja baada ya kumaliza kula na mke wangu tukawa tunapiga stori mbili tatu.Baadae mke wangu akaniuliza "hivi mme wangu unapenda kuoa mke wa pili?
Mimi nikamjibu kwa maisha ya sasa yalivyo siwezi kuoa mke wa pili lakini mambo yakiwa mazuri naweza kuoa mke wa pili.Nilivyomjibu hivyo basi akaniangaliiiiiiia halafu akanitamkia maneno yafuatayo;
"kama hivyo basi bora tuishi maisha ya chini lakini niwe peke yangu"
Haya maneno nikiyakumbuka hua yaninipa faraja sana na kuamini kweli wanawake wanaopenda wanaume kwa dhati wapo.
Hii ndio sababu pekee ambayo nikitaka kuoa mke wa pili nitaweka vipengele vigumu vya kimkataba ambavyo vitamlinda mke wangu wa kwanza.Jamani kupendwa raha sana isitoshe mwanamke mwenyewe ni mzuri wa tabia,umbo na sura yaani my wife ni shombe shombe rangi rangi,nywele nywele na sauti ndio daah!Mashaalah.
NB;Inabidi kumuomba sana mungu ili kuweza kuvishinda vishawishi maana mke wako hata akiwa mzuri lazima utatamani mwingine.
Sahau apangalo mungu wewe hutoliwezaHakuna hekima hapo. Ukweli ni rahisi tu....tamaduni zinazodidimiza wanawake mbele ya wanaume lengo lake ni kufurahisha MFUME DUME. Sisi wanaume tunaumizwa na ubinafsi ndiyo maana tunaona chochote kinachomnyanyua mwanamke ni hatari kwenye masilahi yetu. Jambo zuri ni kwamba wanawake wanainuka, sasa hivi wanapinga waziwazi tu huo ujinga wa polygamy eti mwanaume aoe tu hata wanawake 10 mwanamke akiamua kuwa nawanaume zaidi ya mmoja inaonekana ushetani. Hii tamaduni haitapita muda mrefu itavunjwavunjwa kadiri wanawake wanavyokuwa huru financially