Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Naam maneno haya kwa wenye akili wataona jambo. Mbona ni kama kuna mkakati wa kumlundikia safari Rais hata asipate muda wa kutosha kukaa ofisini na kujadili issues deeply na wataalamu au kusikia hoja nzito katika utulivu?
Mafisadi wako kazini na wameishika nchi wafanyacho ni kuongeza sifa na mbwembwe.
Msikilizeni Lema, hata kama hamumpendi lakini ni Mtanzania na maneno yake yanafaida.
Mafisadi wako kazini na wameishika nchi wafanyacho ni kuongeza sifa na mbwembwe.
Msikilizeni Lema, hata kama hamumpendi lakini ni Mtanzania na maneno yake yanafaida.