ngoma si zinajeleza hizo, juu kabisakulia ni mkulima nakushoto ni yule anayetumia janja yakujiita mtoto wa mkulima ili kuraisisha kampeni za urais 2015. Na chini kabisa mzee anamwambia R.A kuwakitaeleweka tu hata kama wamemchakachua uspika.
ngoma si zinajeleza hizo, juu kabisakulia ni mkulima nakushoto ni yule anayetumia janja yakujiita mtoto wa mkulima ili kuraisisha kampeni za urais 2015. Na chini kabisa mzee anamwambia R.A kuwakitaeleweka tu hata kama wamemchakachua uspika.
Nimeelewa Mr..ila nilitaka kupata mtizamo tofauti so far imekaa km katuni ya bwana kingo ambayo kila mtu hakosi tafsiri yake..damn tuna miaka 500 kumpata mkulima wakweli..R.I.P Babu!
ohoooo........basi tunajiandaa kwenda kupanda mlima kilimanjaro......naomba uanze kwenda gym kwa ajili ya pumzi.....sitisha ulaji wa chips zege mara moja
ohoooo........basi tunajiandaa kwenda kupanda mlima kilimanjaro......naomba uanze kwenda gym kwa ajili ya pumzi.....sitisha ulaji wa chips zege mara moja