Nasema:
Chadema si Zitto, aliondoka bado Chadema imeendelea kupendwa
Chadema si Dr Slaa, ameondoka leo hii umati wa Chadema ni mkubwa kuliko alipokuwa katibu mkuu
Chadema si Mbowe, hata yeye akiondoka Chadema kitaendelea kuwa chama cha UMMA wa watanzania
Watu hawajui tu, Chadema leo hii ni imara zaidi ya ile ya jana kabla ya mzee Slaa kuiponda
Hakuna kutetereka, nguvu ya umma inasonga mbele hadi ukombozi upatikane!
Chadema si Zitto, aliondoka bado Chadema imeendelea kupendwa
Chadema si Dr Slaa, ameondoka leo hii umati wa Chadema ni mkubwa kuliko alipokuwa katibu mkuu
Chadema si Mbowe, hata yeye akiondoka Chadema kitaendelea kuwa chama cha UMMA wa watanzania
Watu hawajui tu, Chadema leo hii ni imara zaidi ya ile ya jana kabla ya mzee Slaa kuiponda
Hakuna kutetereka, nguvu ya umma inasonga mbele hadi ukombozi upatikane!