Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Ipo cku uwongo wenu utafika mwisho 2015 cjui mtakimbilia wap nina uwakika kwa style hii ya cdm ya kwenda vijijin kusambaza sera mtakosa wananchi wakudanganya ngoja 2one leo mtawadanganya nin wa meru maana igunga mliwadanganyia kaz na maji kama january makamba alivyo tweet on twiter @zitokabwe "water and jobs were much bigger issues in igunga than they are in arumeru but we offered details on solution" hii inaonyesha jinsi gan wanatumia matatizo ya watu na kuwadanganya mara tutafanya hivi mara vile 2015 mwsho wenu unakuja