Kweli CCM mmeishiwa sera sijui sasa ivi mtasema uwongo gani Arumeru?

Kokwa kavu

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
220
41
Ipo cku uwongo wenu utafika mwisho 2015 cjui mtakimbilia wap nina uwakika kwa style hii ya cdm ya kwenda vijijin kusambaza sera mtakosa wananchi wakudanganya ngoja 2one leo mtawadanganya nin wa meru maana igunga mliwadanganyia kaz na maji kama january makamba alivyo tweet on twiter @zitokabwe "water and jobs were much bigger issues in igunga than they are in arumeru but we offered details on solution" hii inaonyesha jinsi gan wanatumia matatizo ya watu na kuwadanganya mara tutafanya hivi mara vile 2015 mwsho wenu unakuja
 
Ipo cku uwongo wenu utafika mwisho 2015 cjui mtakimbilia wap nina uwakika kwa style hii ya cdm ya kwenda vijijin kusambaza sera mtakosa wananchi wakudanganya ngoja 2one leo mtawadanganya nin wa meru maana igunga mliwadanganyia kaz na maji kama january makamba alivyo tweet on twiter @zitokabwe "water and jobs were much bigger issues in igunga than they are in arumeru but we offered details on solution" hii inaonyesha jinsi gan wanatumia matatizo ya watu na kuwadanganya mara tutafanya hivi mara vile 2015 mwsho wenu unakuja

Kwa kuwa walitakiwa kutekeleza wajibu wao hawakufanya hivyo, huu si wakati wao wa kutuorodheshea maproblem yetu, wakiorodhesha tutawauliza, mwayajua kwanini hamkuyatatua enyi chama tawala?
 
Ipo cku uwongo wenu utafika mwisho 2015 cjui mtakimbilia wap nina uwakika kwa style hii ya cdm ya kwenda vijijin kusambaza sera mtakosa wananchi wakudanganya ngoja 2one leo mtawadanganya nin wa meru maana igunga mliwadanganyia kaz na maji kama january makamba alivyo tweet on twiter @zitokabwe "water and jobs were much bigger issues in igunga than they are in arumeru but we offered details on solution" hii inaonyesha jinsi gan wanatumia matatizo ya watu na kuwadanganya mara tutafanya hivi mara vile 2015 mwsho wenu unakuja

Kokwa kavu unahitaji kulambwa kidogo upate unyevu akili ikukae sawa.Acha kuwa mtumwa wa matumbo ya watu yakhe, siku moja utaliwa!

Hivi unajua Kamba kamba anamaanisha nini kwa hiyo "we offered details on solution"? Usimwambie mtu: anamaanisha yale mambo ya hijabu , tindikali , kuchoma nyumba na kununua shahada za kupigia kura. Kwa kiinglishi changu; those were the dirt detailed solutions!
 
Kokwa kavu unahitaji kulambwa kidogo upate unyevu akili ikukae sawa.Acha kuwa mtumwa wa matumbo ya watu yakhe, siku moja utaliwa!

Hivi unajua Kamba kamba anamaanisha nini kwa hiyo "we offered details on solution"? Usimwambie mtu: anamaanisha yale mambo ya hijabu , tindikali , kuchoma nyumba na kununua shahada za kupigia kura. Kwa kiinglishi changu; those were the dirt detailed solutions!

Mkuu umesema kweli ila muda wao unakuja
 
Kwa kuwa walitakiwa kutekeleza wajibu wao hawakufanya hivyo, huu si wakati wao wa kutuorodheshea maproblem yetu, wakiorodhesha tutawauliza, mwayajua kwanini hamkuyatatua enyi chama tawala?

Tatizo hapa ni wananch wa vijijin ndo wanawapa kiburi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom