Zumbukuku mwenyewe. Hakuna la maana aliloongea!!!! Wewe na hao wazururaji wanaopita kila mkoa kupiga kelele akili yenu moja. Kama kweli wana akili timamu wangemuiga Mzee wa Kiraracha anayepiga mzigo kweli kweli katika Halmashauri za Wilaya hadi kuwapeleka mahakamani. Lakini kuzunguka mitaani na kutafuta watu wa kuunga mkono ufinyu wa siasa halafu unaita ndiyo nguvu ya umma ndiyo UZUMBUKUKU halisi, upo???