Wadau!
Kuna baadhi ya watu hasa CCM, wanajifanya hawajui kuwa wamefanya mengi maovu, hawajui watu wamechoka, hawajui kuwa Tanzania hakuna amani bali uoga, kidogo niwambie kuwa, wapo vijana wa kitanganyika na Zanzibar ambao wamepanguka, wameshakata tamaa na wako tayar kujiunga na harakati za Al-shabab.
CCM kwa upofu wao wanawazuia watu wasiongelee muungano( Tanganyika na Zanzibar!
Binafsi mimi Ndai, siogopi lolote, nimekua mkimbiz wa nchi yangu Zanzibar tangu 95, anaedhani ana nguvu na mamlaka ya kumdhuru mtu kwa sababu ya kuongelea Tanganyika na Zanzibar namkaribisha.
Mimi Ndai, ni UKAWA damu, na nimpemba, na daima nitapigania mamlaka kamili ya Zanzibar hadi tone la mwisho!
CCM mjue kuwa sisi ni matokeo ya siasa za uwelewa sio za maji taka!
Nawasilisha!
Kuna baadhi ya watu hasa CCM, wanajifanya hawajui kuwa wamefanya mengi maovu, hawajui watu wamechoka, hawajui kuwa Tanzania hakuna amani bali uoga, kidogo niwambie kuwa, wapo vijana wa kitanganyika na Zanzibar ambao wamepanguka, wameshakata tamaa na wako tayar kujiunga na harakati za Al-shabab.
CCM kwa upofu wao wanawazuia watu wasiongelee muungano( Tanganyika na Zanzibar!
Binafsi mimi Ndai, siogopi lolote, nimekua mkimbiz wa nchi yangu Zanzibar tangu 95, anaedhani ana nguvu na mamlaka ya kumdhuru mtu kwa sababu ya kuongelea Tanganyika na Zanzibar namkaribisha.
Mimi Ndai, ni UKAWA damu, na nimpemba, na daima nitapigania mamlaka kamili ya Zanzibar hadi tone la mwisho!
CCM mjue kuwa sisi ni matokeo ya siasa za uwelewa sio za maji taka!
Nawasilisha!