Kweli bunge maalumu limepoteza weledi

Kweli bunge maalumu limepoteza weledi

Ukweli na Uwazi

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
122
Reaction score
54
Yaani katika vitu ambavyo vimenichefua leo ni kusikia eti mojawapo ya kamati za bunge la katiba wanajadiri uwepo wa mahakama ya kadhi. Ivi hawajui kama wanataka kuleta mzozo usio wa lazima? Wasitake wakristo nao wakaanza kuongea. Mahakama ya kadhi ni suala la kidini tuwaachie wenye dini husika washughulike nayo. Isitoshe inchi hii haina dini. Kwa hapa tulipofikia nadiriki kusema bunge hili limekosa weledi kikwete alivunjilie mbali. Msifikili suala hilo halikujitokeza kwenye tume ya warioba ila wajumbe walitumia busira kuliacha. Bunge maalam limekuwa batili kabisa.
 
Hayo ndiyo mambo ya msingi ya kujadili na siyo serikali tatu wewe, ondoa uharo wako, nchi kutokuwa na dini siyo sababu ya kutojadiliwa, watu wana dini zao.
 
UKAWA mna matatizo nyie basi tu watanzania hawajawafahamu. Kujadili Mahakama ya Kadhi kuna tatizo gani, issu hapa ni nguvu ya hoja kila kitu kitakaa sawa.
 
Kwako wewe hizi ndizo hoja zakufanya bunge lipoteze weredi mijitu mengine bana mkikosa kazi za kufanya muwe mnalala tu.
 
UKAWA mna matatizo nyie basi tu watanzania hawajawafahamu. Kujadili Mahakama ya Kadhi kuna tatizo gani, issu hapa ni nguvu ya hoja kila kitu kitakaa sawa.
Ipo siku watanzania watawajua vema tu kwani pole pole ndiyo mwendo.
 
Hayo ndiyo mambo ya msingi ya kujadili na siyo serikali tatu wewe, ondoa uharo wako, nchi kutokuwa na dini siyo sababu ya kutojadiliwa, watu wana dini zao.

Katika watu machizi ndiyo ww, ivi huoni mnataka kuleta migogoro ya kidi? unafikiri dini zingine haziwez kudai hizo mahakama? Acha kufikiri kwa kutumia makalio ww
 
Tumieni mahakama ya kadhi kwa manufaa ya waislam na iendeshwe hukohuko kidini, msituletee selekalini kwa kuwa haiwagusi watanzania wote, kama ni miguu kataneni hukohuko ss haituhusu, na kama kuna mtu anafikiri kuna siku mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba aendelee kusubiri majibu atayapata.
 
Baraza LA IDD mwaka 2011 Dodoma. Rais alilielezea. Hili swala LA mahakama ya kadhi. Sasa sijui mnatafuta nn
 
Hawa Ccm wamekosa uhalali wa kutawala kama kweli wanataka kuingiza mahakama ya kadhi kwenye katiba.Nadhani waislam tayari walishaelewa ndiyo maana halikujitokeza, Lakini Ccm wanataka kuleta ugomvi usio na sababu, AMA kweli hawa hawako tayari kuachia dola hadi nchi isambaratike. Very sad indeed.
 
Mwishowe tukikaribia idi tutaomba wizara ya utamaduni itupe hela za kuandaa chakula cha sikukuu.
 
Back
Top Bottom