CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 60
Kweli nimegundua kuna tofauti ya kiongozi wa kuchaguliwa na kiongozi wa kuteuliwa..baada ya Lema kurudi alipiga marufuku mgambo kupiga watu na akawaelekeza kutumia taratibu za kisheria kushughulikiaa watu.
Nilichogundua mpaka sasa siwaoni tena wale mgambo wakiranda randa...hii pia inambatana na usemi wa Lema akiwambia asisikie kijana wa CHADEMA kapigwa..na akaapa kwa gharama yoyote atawalinda aliowaita mama zake wanaofanya biashara.
Nilichogundua mpaka sasa siwaoni tena wale mgambo wakiranda randa...hii pia inambatana na usemi wa Lema akiwambia asisikie kijana wa CHADEMA kapigwa..na akaapa kwa gharama yoyote atawalinda aliowaita mama zake wanaofanya biashara.