Aiseeee, it is so amazing kwa kweli... NAPE why haya yanatokea, wewe si unapokea mshahara wa kutosha kwaajili ya kuhakikisha chama kinajozolea wafuasi na wakereketwa wa kutosha? Hii tafsiri yake ni kwamba kazi imekushinda hivyo unapokea mshahara-pesa usizozitolea jasho(UFISADI), Ikiwa ndivyo basi na wewe ni unatakiwa ujivue gamba!!