Kwataaa!!!!!

Kwataaa!!!!!

No guuz match(spelling?..) mkuu,Oljoro JKT kwa mzee Maduma,Masabo,Mirudy na afande Mlimba
Mkuu ilikuwa operation gani hiyo, nasikia huyo Mirudy baadae alikuwa CO baada ya mzee Karubi kuondoka!.
 
Inanikumbusha kipindi hcho nikiwa kambini.
 
Huyo mgambo wa pili mbele mbona kamshikilia mguu huyo mwanamke?

Huu ni uonevu kwa viumbe hawa mgambo.
 
...Hajamshikilia Ndugu, ni angle tu ya hiyo picha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom