STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 845
- 690
Ndugu yangu huu uzi sio kwa ajili ya mabishano
sijazunguka nimeshajibu na ndiyo maana aliyeniuliza karidhika na jibu. Na cha msingi si kufunga kula kama unavyotaka nikujibu halafu yaonyesha na wewe ni kama JPM anti kiingereza ama hukielewi kama ungekielewa usingeuliza tena swali maana jibu limejitosheleza. Cha msingi ungeomba wanaolewa kiingereza wakutafsirie mkuu.Mbona hujajibu swali unazunguka zunguka kama feni.
Swali limeulizwa je na Yesu alifunga kama mnavyofunga nyie wakristo nyakati hizi?
Yaani Yesu nae katika zile siku zake 40 za kufunga alikua anakula kwa kujinyima kama nyie?
Unaelewa maana ya self denial? ndiyo maana kuu ya mfungo wa wakristu unaweza kuamua kuto kula. self denial ni kitu muhimu sana katika mfungo hata wa waislamu ila tatizo wafungaji hawajui maana kufunga wanadhani kuacha kula, Hujaona watu wanafunga kuanzia alfajiri mpaka jioni kula na kufuta sigara lakini ikifika wakati wa futuru wanakimbilia kuvuta sigara sasa sijui kama kweli huo nimfungo.Mabishano au tunahoji, misingi ya hii funga: mchangiaji hapo juu amesema kufunga kwenu ni kuacha unachopenda tu...kama kununua nguo, kunywa bia, kujamiiana..sasa utuelimishe na yesu naye alifunga KIULAINI HIVYO?
Mkuu inaonekana watu wengi humu hawajui kabisa nini maana ya kufunga kwa wakristu labda ungewafahamisha na kuwaeleza kuwa kufunga kwa wakristu hakumaanishi kuacha kula tu kwa siku hizi 40 bali zaidi zaidi ni kitu kwa kiingereza kinaitwa Self denial na hapa ni maelezo kidogo kwa kiingereza.Wapendwa katika Kristo
Tumsifu yesu Kristo...
Nawakaribisha waumini wote wa kanisa Catholic na wengine wote wanaoshiriki mateso ya bwana Yesu kristo kwa kufunga na kujielekeza mbele zake MUNGU kipindi hichi cha KWARESMA.
Nawaalika sasa tuweze kutiana moyo, kukumbushana, kufundishana kupitia uzi huu.
Kama una document za kidini weka hapa, nyimbo, picha, sala, miatari ya biblia weka hapa...
Wako katika kristo Da'Vinci..
Tunakimbilia..........
YanaruhusiwaMaswali yanaruhusiwa?
Wasabato siyo WakristoWakatoliki,walokole, wasabato nk hwanamisingi yao ya imani wanayofuata. Vipo vingi wakatolic tunafanya wengine hawafanyi ajili ya misingi hiyo
Nimebatizwa moroviani nikiwa mtoto,then nikaja batizwa tena Catholic nikiwa primary usiku Wa kuamkia pasaka,Ubatizo ni moja kati ya sakramenti saba alizotuachia Bwana wetu Yesu kristo. Sakramenti nyingine ni pamoja na Kipaimara, Ekaristi Kitubio,Mpako wa Wagonjwa,Daraja Takatifu na Ndoa. Sakramenti zote 7 zinagusa hatua zote na nyakati zote muhimu za maisha ya mkristo. Zinayajalia maisha ya imani ya mkristo, kuzaliwa kukua,kupona na utume.Sakramenti ya Ubatizo ni msingi wa maisha yote ya kikristo, lango la kuingilia uzima katika roho na mlango unaowezesha kupata sakramenti zingine. Kwa njia ya ubatizo tunafanywa huru katoka dhambi na kuzaliwa upya kama watoto wa Mungu. Sakramenti hii huitwa ubatizo kutokana na madhehebu ya msingi ambayo kwayo hufanyika. Kubatiza kwa Kigiriki (Baptaizein) humaanisha “kutumbukiza” au “kuzamisha” ndani ya maji alama ya kuzikwa na kufufuka pamoja na Kristo ili uwe kiumbe kipya.
Yeyote anayepokea ubatizo bila kuwa na imani hapati neema za sakramenti hiyo. Ndiyo maana Yesu alipowatuma wanafunzi wake kwenda duniani alisema “aaminiye na kuokoka atabatizwa na asiyeamini atahukumiwa” Mk16:16. Pia anawaeleza mitume wajibu wa kuhakikisha watu wote wanahubiriwa na neno la Mungu na kubatizwa akisema “nendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu” Mt 28:19. Swali la kujiuliza na kuangaliwa hapa ni lini ubatizo ufanyike, je, mtoto mdogo asiyeweza kuamini anaweza kubatizwa au tusubiri hadi awe mkubwa?
Katika suala hili ni kweli kwamba ubatizo ni sakramenti ya imani lakini lazima tukumbuke kuwa imani ina lazima ya jumuia ya waamini, ni katika imani ya kanisa tu kila mwamini aweze kusadiki. Imani inayodaiwa kwa ubatizo si imani kamili na komavu bali ni mwanzo tu ambao lazima ukue. Ndiyo maana mwenye kubatizwa huulizwa “unataka nini katika kanisa la Mungu?” naye hujibu “Imani”. Kwa hiyo iwe amebatizwa akiwa mtoto au mkubwa imani lazima ikue baada ya ubatizo. Na ili neema ya ubatizo iweze kukua, msaada wa mzazi ni wa lazima. Hapo pia ni kazi ya wasimamizi wa kiume na wa kike ambao lazima wawe waamini imara, wenye uwezo na walio tayari kumsaidia mbatizwa katika safari ya maisha ya kikristo. Wajibu wao ni kweli kazi ya kanisa. Jamii yote ya kanisa ina sehemu na wajibu katika maendeleo na katika kutunza neema iliyopokewa kwa ubatizo.
Nimebatizwa moroviani nikiwa mtoto,then nikaja batizwa tena Catholic nikiwa primary usiku Wa kuamkia pasaka,Ubatizo ni moja kati ya sakramenti saba alizotuachia Bwana wetu Yesu kristo. Sakramenti nyingine ni pamoja na Kipaimara, Ekaristi Kitubio,Mpako wa Wagonjwa,Daraja Takatifu na Ndoa. Sakramenti zote 7 zinagusa hatua zote na nyakati zote muhimu za maisha ya mkristo. Zinayajalia maisha ya imani ya mkristo, kuzaliwa kukua,kupona na utume.Sakramenti ya Ubatizo ni msingi wa maisha yote ya kikristo, lango la kuingilia uzima katika roho na mlango unaowezesha kupata sakramenti zingine. Kwa njia ya ubatizo tunafanywa huru katoka dhambi na kuzaliwa upya kama watoto wa Mungu. Sakramenti hii huitwa ubatizo kutokana na madhehebu ya msingi ambayo kwayo hufanyika. Kubatiza kwa Kigiriki (Baptaizein) humaanisha “kutumbukiza” au “kuzamisha” ndani ya maji alama ya kuzikwa na kufufuka pamoja na Kristo ili uwe kiumbe kipya.
Yeyote anayepokea ubatizo bila kuwa na imani hapati neema za sakramenti hiyo. Ndiyo maana Yesu alipowatuma wanafunzi wake kwenda duniani alisema “aaminiye na kuokoka atabatizwa na asiyeamini atahukumiwa” Mk16:16. Pia anawaeleza mitume wajibu wa kuhakikisha watu wote wanahubiriwa na neno la Mungu na kubatizwa akisema “nendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu” Mt 28:19. Swali la kujiuliza na kuangaliwa hapa ni lini ubatizo ufanyike, je, mtoto mdogo asiyeweza kuamini anaweza kubatizwa au tusubiri hadi awe mkubwa?
Katika suala hili ni kweli kwamba ubatizo ni sakramenti ya imani lakini lazima tukumbuke kuwa imani ina lazima ya jumuia ya waamini, ni katika imani ya kanisa tu kila mwamini aweze kusadiki. Imani inayodaiwa kwa ubatizo si imani kamili na komavu bali ni mwanzo tu ambao lazima ukue. Ndiyo maana mwenye kubatizwa huulizwa “unataka nini katika kanisa la Mungu?” naye hujibu “Imani”. Kwa hiyo iwe amebatizwa akiwa mtoto au mkubwa imani lazima ikue baada ya ubatizo. Na ili neema ya ubatizo iweze kukua, msaada wa mzazi ni wa lazima. Hapo pia ni kazi ya wasimamizi wa kiume na wa kike ambao lazima wawe waamini imara, wenye uwezo na walio tayari kumsaidia mbatizwa katika safari ya maisha ya kikristo. Wajibu wao ni kweli kazi ya kanisa. Jamii yote ya kanisa ina sehemu na wajibu katika maendeleo na katika kutunza neema iliyopokewa kwa ubatizo.
Nimebatizwa moroviani nikiwa mtoto,then nikaja batizwa tena Catholic nikiwa primary usiku Wa kuamkia pasaka,Ubatizo ni moja kati ya sakramenti saba alizotuachia Bwana wetu Yesu kristo. Sakramenti nyingine ni pamoja na Kipaimara, Ekaristi Kitubio,Mpako wa Wagonjwa,Daraja Takatifu na Ndoa. Sakramenti zote 7 zinagusa hatua zote na nyakati zote muhimu za maisha ya mkristo. Zinayajalia maisha ya imani ya mkristo, kuzaliwa kukua,kupona na utume.Sakramenti ya Ubatizo ni msingi wa maisha yote ya kikristo, lango la kuingilia uzima katika roho na mlango unaowezesha kupata sakramenti zingine. Kwa njia ya ubatizo tunafanywa huru katoka dhambi na kuzaliwa upya kama watoto wa Mungu. Sakramenti hii huitwa ubatizo kutokana na madhehebu ya msingi ambayo kwayo hufanyika. Kubatiza kwa Kigiriki (Baptaizein) humaanisha “kutumbukiza” au “kuzamisha” ndani ya maji alama ya kuzikwa na kufufuka pamoja na Kristo ili uwe kiumbe kipya.
Yeyote anayepokea ubatizo bila kuwa na imani hapati neema za sakramenti hiyo. Ndiyo maana Yesu alipowatuma wanafunzi wake kwenda duniani alisema “aaminiye na kuokoka atabatizwa na asiyeamini atahukumiwa” Mk16:16. Pia anawaeleza mitume wajibu wa kuhakikisha watu wote wanahubiriwa na neno la Mungu na kubatizwa akisema “nendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu” Mt 28:19. Swali la kujiuliza na kuangaliwa hapa ni lini ubatizo ufanyike, je, mtoto mdogo asiyeweza kuamini anaweza kubatizwa au tusubiri hadi awe mkubwa?
Katika suala hili ni kweli kwamba ubatizo ni sakramenti ya imani lakini lazima tukumbuke kuwa imani ina lazima ya jumuia ya waamini, ni katika imani ya kanisa tu kila mwamini aweze kusadiki. Imani inayodaiwa kwa ubatizo si imani kamili na komavu bali ni mwanzo tu ambao lazima ukue. Ndiyo maana mwenye kubatizwa huulizwa “unataka nini katika kanisa la Mungu?” naye hujibu “Imani”. Kwa hiyo iwe amebatizwa akiwa mtoto au mkubwa imani lazima ikue baada ya ubatizo. Na ili neema ya ubatizo iweze kukua, msaada wa mzazi ni wa lazima. Hapo pia ni kazi ya wasimamizi wa kiume na wa kike ambao lazima wawe waamini imara, wenye uwezo na walio tayari kumsaidia mbatizwa katika safari ya maisha ya kikristo. Wajibu wao ni kweli kazi ya kanisa. Jamii yote ya kanisa ina sehemu na wajibu katika maendeleo na katika kutunza neema iliyopokewa kwa ubatizo.
Lengo la ujio wa Yesu duniani lilikuwa si kuja kutuonesha staili za kufunga...hilo halikuwa lengo la ujuo wakeMabishano au tunahoji, misingi ya hii funga: mchangiaji hapo juu amesema kufunga kwenu ni kuacha unachopenda tu...kama kununua nguo, kunywa bia, kujamiiana..sasa utuelimishe na yesu naye alifunga KIULAINI HIVYO?
Mpendwa zinginary pamoja nanyi nyote mnaonisikiliza hivi sasa, napenda mjue kuwa hamwezi kamwe kukiishi kitu ambacho hukijui. Hivyo kwasababu hiyo itakupasa kufanya mafundisho ya kanisa Katoliki, na kanisa linapaswa kuhakikisha kuwa umeyafahamu vyema. Kanisa linatuhoji kama tmekubali mafundisho hayo, nasi tunakiri kanuni ya Imani mbele ya waumini wenzetu wote; na huo ndiyo muhtasari wa mafundisho ya kanisa Katoliki; na hapo utapokelewa rasmi.Nimebatizwa moroviani nikiwa mtoto,then nikaja batizwa tena Catholic nikiwa primary usiku Wa kuamkia pasaka,
Yan nimebatizwa mala mbili Lisa tu chet changu cha moroviani hakikupatikana
But mpk sasa nasubiri ubatizo Wa ATHEISM nishaaachana huko toka nimalize seminary
Hongereni na kila kher wakuuu
Ufafanuzi wako ni mzuri mkuu. Wengi wanadhani na wamekaririshwa kuwa kufunga ni kula tuu. Bali kufunga ni kujizuia kufanya kile kitu unakipenda au umekua ukikifanya mara kwa mara. Kufunga ni sala na toba na kujitahidi kumrudia mungu.Umejuaje kama hawajafunga? Kufunga kwa wakristu siyo kama ramadhani bali kujinyima kile kitu ukipendacho kwa siku arobaini na kama ulikua unapenda kunua nguo moya kila wiki unaacha kufanya hivyo kwa siku arobaini na ile hela uliyoiokoa unatoa kama sadaka yako kwa wale wasiokuwa na uwezo. Pili umaweza kufunga baada ya kula milo miwili unakula mulo moja iwe mchana ama usiku lakini zile gharama za lazima ukazitoe kama sadaka. Kufunga kwa wakristu siyo kupiga mbiu bali ni juu yako mfungaji na Mungu wako aliyesirini.
Matthew 16: 16-18
“And when you fast, do not look gloomy like the hypocrites, for they disfigure their faces that their fasting may be seen by others. Truly, I say to you, they have received their reward. But when you fast, anoint your head and wash your face, that your fasting may not be seen by others but by your Father who is in secret. And your Father who sees in secret will reward you.
Asante sana na ubarikiweJE, KWARESMA NI KWELI SIKU 40? MBONA ZIPO SIKU 46?
Ukijaribu kuhesabu kwa umakini kuanzia Siku ya JUMATANO YA MAJIVU hadi SIKU YA PASAKA utakuta zipo jumla ya Siku 46.
SWALI: JE, KWARESMA NI KWELI SIKU 40?
JIBU: NDIYO.
SWALI: KIVIPI?
JIBU: Jumla ya siku ni kweli zipo 46 kama ifuatavyo:
Jumatatu = 6
Jumanne = 6
Jumatano = 7
Alhamisi = 7
Ijumaa = 7
Jumamosi = 7
Jumapili = 6
JUMLA = 46
Katika kuhesabu Siku za Mfungo, siku zote za Jumapili huwa zinatolewa katika Mfungo yaani Jumapili zote 6. Kwahiyo katika zile siku 46 ukizitoa Siku 6 za Jumapili, zinabaki siku 40 za Kufunga.
SWALI: Kwanini hizo siku za Jumapili zitolewe?
JIBU: Ni kwasababu Siku ya Jumapili yoyote ile tunaadhimisha PASAKA NDOGO yaani tunasherehekea na kukumbuka Ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo aliyefufuka Siku ya Kwanza ya Juma yaani Jumapili baada ya Sabato kwisha,(Rejea Mt. 28:1-15). Hivo basi, hatuwezi kufunga siku za Jumapili kwasababu ni Pasaka Ndogo na Pasaka huwa tunasherehekea. Kwenye sherehe siku zote hakuna kufunga maana Bwana Harusi tunakuwa naye tukiukumbuka Ufufuko wake ambao ndio Kilele cha Ukombozi wetu sisi Wakristo.
"BASI ENENDENI MKAWAFANYE MATAIFA YOTE KUWA WANAFUNZI WANGU" (Mt. 28:19).
Kisheria ukishabatizwa kama mkristu hutakiwi tena kubatizwa labda hukuwaeleza RC kama ulibatizwa.Nimebatizwa moroviani nikiwa mtoto,then nikaja batizwa tena Catholic nikiwa primary usiku Wa kuamkia pasaka,
Yan nimebatizwa mala mbili Lisa tu chet changu cha moroviani hakikupatikana
But mpk sasa nasubiri ubatizo Wa ATHEISM nishaaachana huko toka nimalize seminary
Hongereni na kila kher wakuuu
Nani kaleta mabishano?Ndugu yangu huu uzi sio kwa ajili ya mabishano