Tajiri anaogopwa na shetaniUshawahii kwenda KWENYE maombii
Asilimia sabini ya watuwanaoombewa NA kulilipuka.mapepo maishayao n magumu sana
Shida zaidi n nini
Tajiri anaogopwa na shetani
Akiwa ofisini anatoa pesa za kusaidia masikini kama ada , chakula, hela za kujikimu kwa watu mbalimbali mania kwa mamia ya watu wanamoombea, ni ngumu sana mungu kutosiki sala ya mama mjane anayesaidiwa na tajiri,
Au kijana mlenavu n.k
Tajiri ana ulinzi wa mungu muda wote
Masikini kazi yake ni kulalamika tu
Wacha mapepo yawaandame
Hhah siyo kiivyo weweni rahisi ngamia kupenya ktk tundu la sindano kuliko tajiri kurithi ufalme wa mbingu
Uanayapinga maneno ya KristoHhah siyo kiivyo wewe
Ibrahimu
Ayubu
Suleiman
Matajiri wa kutupwa hao wapo jehanamu kwa sasa kisa walikuwa mabilionea eee
Baaasi haaya kauze kila ulichonacho
Hhah siyo kiivyo wewe
Ibrahimu
Ayubu
Suleiman
Matajiri wa kutupwa hao wapo jehanamu kwa sasa kisa walikuwa mabilionea eee
Baaasi haaya kauze kila ulichonacho
Umemalizakabisaa shikamoompwaTajiri anaogopwa na shetani
Akiwa ofisini anatoa pesa za kusaidia masikini kama ada , chakula, hela za kujikimu kwa watu mbalimbali mania kwa mamia ya watu wanamoombea, ni ngumu sana mungu kutosiki sala ya mama mjane anayesaidiwa na tajiri,
Au kijana mlenavu n.k
Tajiri ana ulinzi wa mungu muda wote
Masikini kazi yake ni kulalamika tu
Wacha mapepo yawaandame
Naitajiutajiri usinikemee mwandikoo tenaa..pigaaa maombiiPepo Linapotumwa Kwa Mtu Huhakikisha Linatekeleza Lilichotumwa Kama Ni Kukuharibia Maisha Litahakikisha Hufanikiwi Milele Au Kama Limetumwa Kwa Ajili Ya Kuua Litahakikisha Linakutesa Mpaka Kufa KwaKo ... ILA NA WEWE P DIDY UNATUTESA SANA HUU UANDISHI WAKO USIPOACHA HII TABIA NITAKUFUNGULIA MASHITAKA ...
Umasikini sio ticket ya kuingia mbinguni...heri walio masikini wa roho maana ufalme wa mbingu ni wao...hao uliowataja walikuwa wateule.
waitwao ni wengi lakini wateule wachache.
matajiri sio kwamba wamekataliwa mbinguni, ila kulingana na tamaa ya mali na nguvu ya pesa walizonazo ni rahisi kupata majaribu.
1. Mungu analinda watu wote hasa masikini.Tajiri anaogopwa na shetani
Akiwa ofisini anatoa pesa za kusaidia masikini kama ada , chakula, hela za kujikimu kwa watu mbalimbali mania kwa mamia ya watu wanamoombea, ni ngumu sana mungu kutosiki sala ya mama mjane anayesaidiwa na tajiri,
Au kijana mlenavu n.k
Tajiri ana ulinzi wa mungu muda wote
Masikini kazi yake ni kulalamika tu
Wacha mapepo yawaandame
Eee mungu baba mtizame P DIDY kwa jicho la tatu tizama jinsi anavyoteseka tenda muujiza juu yake apate kufanikiwa maishani mwake muonyeshe njia ya baraka shusha chemichemi za utajiri juu yake vunja vunja nguvu za giza zote zinazozuia asifanikiwe maishani mwake kama ana pepo mfilisi liondoke shusha moto wa rehema juu yake kama ana majini yanamsumbua yaondoke kama anasumbuliwa na mahembe yaondoke kama ana manyabuleza yaondoke shusha moto moto moto fire fire fire ... MPWA NIMEMALIZA UKIFANIKIWA UNIKUMBUKE ...Naitajiutajiri usinikemee mwandikoo tenaa..pigaaa maombii