Windows karibu zote zikitokaga huwa zinakua na ukosoaji mkubwa lakini baadae zinakuja kukubalika
Hii inatokana na mazoea ya windows ya awali kwakuwa unakua umeizoea sana unaona windows mpya kama miyeyusho
Ila mimi Windows 8 niliiruka kabisa sijaitumia[emoji23]
Ni swala la muda tu