Kwanini watu wengi hasa wasomi huwa hawapendi kurudi kwao hasa kwenye likizo au baada ya masomo?

kaitamarogo

JF-Expert Member
May 23, 2016
461
495
Nimekuwa nikifuatilia hili suala kuhusu watu wengi wanaomaliza ngazi za elimu mbalimbali wengi hhawapendi kurudi makwao has a wale wanaotoka vijijini. Je ni sababu zipi hupelekea hali hii?
 
Yaani badala ya kutafuta ili wasaidie kijijini unataka warudi kufanyaje sasa
 
Wanaogopa kulogwa pamoja na usomi wao,chezea mwanakijiji ww
 
Nimekuwa nikifuatilia hili suala kuhusu watu wengi wanaomaliza ngazi za elimu mbalimbali wengi hhawapendi kurudi makwao has a wale wanaotoka vijijini. Je ni sababu zipi hupelekea hali hii?
Sababu wakiludi jamii inawaona kama wameshindwa maisha,kwahiyo wanaona ni kama fedheha,kumbe kuludi nyumbani ukiwa na elimu yako hasa kijijina baada ya miaka miwili unakuwa ni millionea.
 
Nimekuwa nikifuatilia hili suala kuhusu watu wengi wanaomaliza ngazi za elimu mbalimbali wengi hhawapendi kurudi makwao has a wale wanaotoka vijijini. Je ni sababu zipi hupelekea hali hii?

sio wa sehemu zote...kuna mikoa watu hawapendi kabisa kurudi makwao...wanaishia kujenga sehemu na kuishi mikoa mingine ila sio kwao...
labda na wewe ni mmoja wapo unaotoka mikoa ambayo watu hawapendi kurudi kwao
 
Inategemea mfano sisi lazima urudi kuendeleza kiamba chako ata kama upo nje ya nchi kama huku.
 
Sisi wachaga tunarudi nyumbani.
Safi sana. Japo mimi sio mchaga lakini familia yetu inarudi nyumbani na uzuri baba alijenga nyumba nzuri tu hivyo kuna wengine hawarudi kutokana na mazingira boresha mazingira ya nyumbani basi ili uwe na bond na ndugu zako Kha!
 
Back
Top Bottom