pathfinder_tz
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 356
- 377
Nimejiuliza sana jambo hili;
Kwanini watu wanacheat katika mahusiano yao?
Je sababu za kucheat ni zipi wadau?
Au labda:
1. Wapenzi tulionao sio wale tuliofikiri watatufaa?
2. Au tabia chafu tumezifanya mazoea?
3. Wapenzi wetu hawafanyi kama yale michepuko wanafanya tukiwa faragha?
4. Au hatukuwapenda kwa dhati wapenzi wetu?
5. Au tabia zao zimebadilika kiasi kwamba hatuwezi kuendelea kuvumilia lazima tutafute mbadala?
6. Au tamaa zetu za kimwili kwa kila tunachoona kwa wakati huo.
7. Au vishawishi vya michepuko ni vikali kiasi kwamba hatuwezi kukataa?
8. Au tamaa ya pesa, mali na vitu ambavyo hatuna uwezo navyo kuvipata kwa urahis.
So guys hii ni kwa jinsia zote, why do people cheat?
Kwanini watu wanacheat katika mahusiano yao?
Je sababu za kucheat ni zipi wadau?
Au labda:
1. Wapenzi tulionao sio wale tuliofikiri watatufaa?
2. Au tabia chafu tumezifanya mazoea?
3. Wapenzi wetu hawafanyi kama yale michepuko wanafanya tukiwa faragha?
4. Au hatukuwapenda kwa dhati wapenzi wetu?
5. Au tabia zao zimebadilika kiasi kwamba hatuwezi kuendelea kuvumilia lazima tutafute mbadala?
6. Au tamaa zetu za kimwili kwa kila tunachoona kwa wakati huo.
7. Au vishawishi vya michepuko ni vikali kiasi kwamba hatuwezi kukataa?
8. Au tamaa ya pesa, mali na vitu ambavyo hatuna uwezo navyo kuvipata kwa urahis.
So guys hii ni kwa jinsia zote, why do people cheat?