MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,456
- 69,361
Hivi ndugu zangu hili mnalionaje,nimebahatika kusoma na kukutana na watu wengi wenye uwezo mkubwa kitaaluma lakini mwisho wa siku wote hawataki kurudi nyumbani kufanya kazi.
Kuna dogo moja alisoma International School of Moshi akaenda Kusomea Mining Engineering University of Alberta na amefaulu vizuri kweli lakini hataki kurudi home.Ukiongea naye hataki kabisa kusikia anasema kuna siku alishawahi kuongelea mambo ya madini kwenye redio fulani akatishiwa na watu asiowajua.
Tena kuna jamaa yangu mwingine alisoma pale AGHA KHAN MZIZIMA akepelekwa kusoma AVIATION ENGINEERING MOSCOW STATE UNIVERSITY hataki rudi.
kuna wengine nawafahamu wamesoma Harvard,MIT,hadi Yale lakini hawataki hata kusikia kuhusu Tanzania yaani its sad. Kinachouma zaidi wengine wamemaliza UDSM,MUHIMBILI,MZUMBE miaka ya nyuma kidogo na wanajiweza haswaa ila wameshaondoka nchini.
Mimi nakumbuka mwalimu wangu moja hivi ni alisoma SOVIET UNION miaka ya nyuma na alivyorudi akawa anafanya kazi kama engineer wa ndege kipindi cha Nyerere. Kuna siku akajishauri aombe kazi British Airways wazungu walimpa ile kazi kwa haraka kweli.
Siku anafika Airport ya Uingereza anadakwa na polisi wa Uingereza kumbe Nyerere kapiga simu muda jamaa arudishwe Tanzania. Basi jamaa akarudi TZ.Cha kusikitisha kipindi cha Mkapa jamaa walimwondoa kazini wakasema hana Uwezo ila sasa Msiba wa Nyerere umetokea inabidi waende wakamkodi tena kutoka nje ili arekebishe ndege ya kumbebea Mwalimu.
Sasa mimi huwa najiuliza hivi ni kwanini wasomi wa Tanzania huwa hawakai nchini na hata kama akikaa nchini basi huwezi msikia anajihusisha na mambo ya maendeleo ya nchi.Mtu huyo awe Lawyer,.Engineer,Doctor,Economist,wooote hawataki kuisaidia nchi.
Yaani tunabaki na changamoto tupu.
Kuna dogo moja alisoma International School of Moshi akaenda Kusomea Mining Engineering University of Alberta na amefaulu vizuri kweli lakini hataki kurudi home.Ukiongea naye hataki kabisa kusikia anasema kuna siku alishawahi kuongelea mambo ya madini kwenye redio fulani akatishiwa na watu asiowajua.
Tena kuna jamaa yangu mwingine alisoma pale AGHA KHAN MZIZIMA akepelekwa kusoma AVIATION ENGINEERING MOSCOW STATE UNIVERSITY hataki rudi.
kuna wengine nawafahamu wamesoma Harvard,MIT,hadi Yale lakini hawataki hata kusikia kuhusu Tanzania yaani its sad. Kinachouma zaidi wengine wamemaliza UDSM,MUHIMBILI,MZUMBE miaka ya nyuma kidogo na wanajiweza haswaa ila wameshaondoka nchini.
Mimi nakumbuka mwalimu wangu moja hivi ni alisoma SOVIET UNION miaka ya nyuma na alivyorudi akawa anafanya kazi kama engineer wa ndege kipindi cha Nyerere. Kuna siku akajishauri aombe kazi British Airways wazungu walimpa ile kazi kwa haraka kweli.
Siku anafika Airport ya Uingereza anadakwa na polisi wa Uingereza kumbe Nyerere kapiga simu muda jamaa arudishwe Tanzania. Basi jamaa akarudi TZ.Cha kusikitisha kipindi cha Mkapa jamaa walimwondoa kazini wakasema hana Uwezo ila sasa Msiba wa Nyerere umetokea inabidi waende wakamkodi tena kutoka nje ili arekebishe ndege ya kumbebea Mwalimu.
Sasa mimi huwa najiuliza hivi ni kwanini wasomi wa Tanzania huwa hawakai nchini na hata kama akikaa nchini basi huwezi msikia anajihusisha na mambo ya maendeleo ya nchi.Mtu huyo awe Lawyer,.Engineer,Doctor,Economist,wooote hawataki kuisaidia nchi.
Yaani tunabaki na changamoto tupu.