Mimi alone
Member
- Mar 31, 2014
- 36
- 3
Kwanini watu wanawachukilia vibaya wasichana wanaotafuta marafiki,wachumba kwenye mitandao kama malaya?
nawashangaa! watu tupo busy hatuna muda wa kuonana na watu mitaani, tukitafta jf tunaambiwa vibaya vyajitembeza wakati totoz za ukweliii!
Kwanini watu wanawachukilia vibaya wasichana wanaotafuta marafiki,wachumba kwenye mitandao kama malaya?
Tehe tehe....watt mashalah lol
kwahiyo ???
kwani ww ulikuwa unasemaje?
husninyo waache waendelee kuongea maana wanashindwa kujua walioko jf ndo walioko mtaani tena wa jf kuwajua na tabia ni rahisi maana daily mpo pamoja hapa,WATU TUNAZIDI KULA RAHA,lalamika tu wenzako wanaolewa na kuoa
kwahiyo ???
kwani ww ulikuwa unasemaje?
Unajali nini?
husninyo waache waendelee kuongea maana wanashindwa kujua walioko jf ndo walioko mtaani tena wa jf kuwajua na tabia ni rahisi maana daily mpo pamoja hapa,WATU TUNAZIDI KULA RAHA,lalamika tu wenzako wanaolewa na kuoa
ebu wacheni kuleta zenu hapa tuwe wakweli tuu
bith men nd women tuliokuwepo jf looking for a better half have a problem. mie najua kabisa wanawake waUri na warembo hawana muda wakukaa online muda mwingi...wanatolewa out huko na wanaume wa ukweli bwana.
wanawake wazuri na warembo tunatafta pesa zetu na tunatoka kwa ratiba zetu na si kutolewa outing na wanaume. ndio maana tunaonekana online.
hahha kamdanganye kuku. mwanamke ata akiwa na million bado atataka kula buku kumi ya njemba...wazuri wanajipanga watatija wapi leo tena sio hapa bongo tayari wanakula bata nje ya nchi
tatizo unakariri maisha bazazi.
hahha kamdanganye kuku. mwanamke ata akiwa na million bado atataka kula buku kumi ya njemba...wazuri wanajipanga watatija wapi leo tena sio hapa bongo tayari wanakula bata nje ya nchi
ebu wacheni kuleta zenu hapa tuwe wakweli tuu
bith men nd women tuliokuwepo jf looking for a better half have a problem. mie najua kabisa wanawake waUri na warembo hawana muda wakukaa online muda mwingi...wanatolewa out huko na wanaume wa ukweli bwana.