Sasa tupende wagomvi ili iweje?mwanaume mpole ndo mpango mzima sio jitu kitu kidogo tu makelele, ugomvi, badala ya kukuelewesha kwa upole anaongea mpaka anasimamia kucha
Naomba naomba nikuulize swali ambalo litakupa jibu ya swali ulilouliza. Hivi unaweza kuwa na urafiki au kulala chumba kimoja na simba? Jibu la hili swali ndio jibu ya swali lako kwa nini wanawake hanapenda wanaume wapole?
Sasa tupende wagomvi ili iweje?mwanaume mpole ndo mpango mzima sio jitu kitu kidogo tu makelele, ugomvi, badala ya kukuelewesha kwa upole anaongea mpaka anasimamia kucha