by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Ni furahi day tena wana MMU.ninaomba ushauri wenu hata kwa men ruksa kuchangia.nili mtokea dada mmoja nilimfukuzia kwa miezi kama mitatu kwasababu alikuwa nataka sitaki iliniwia vigumu kumwelewa kwa sababu nikiomba outing nae alikuwa anakubali.
Kama miezi miwili imepita tangu tupotezeane baada ya kumuona aeleweki katika kauli zake na yeye akakubali akasema tusijuane tena.tupo chuo kimoja mara nying uwa tunapishana so uwa nampasalam fupi ya kawaida sana ila simu sijawah kumpigia wala yeye kunitafuta.
Tatizo limeibuka last week nilikuwa na washkaji ghafla akaibuka jamaa mmoja ambae atujazoeana kwa maelezo yake anamtokea yule msichana kwa sasa na alitaka nimuakikishie kama kwel yule dada anamtu kwa sababu yulemsichana kamwambia tayari anamtu wake wana miaka 3 na mimi ....
ni rafiki yake na uwanaenda room kwake kupga story wakati nishakata mawasiliano nae kitambo na mimi aligoma kuniambia yupo in relationshp zaid ya kusema yupo bize na masomo na aitaj story za mapenzi.WADADA KWANINI KUSEMA UKWELI KWENU INAKUWA NGUMU mnapenda shortcut sana
Kama miezi miwili imepita tangu tupotezeane baada ya kumuona aeleweki katika kauli zake na yeye akakubali akasema tusijuane tena.tupo chuo kimoja mara nying uwa tunapishana so uwa nampasalam fupi ya kawaida sana ila simu sijawah kumpigia wala yeye kunitafuta.
Tatizo limeibuka last week nilikuwa na washkaji ghafla akaibuka jamaa mmoja ambae atujazoeana kwa maelezo yake anamtokea yule msichana kwa sasa na alitaka nimuakikishie kama kwel yule dada anamtu kwa sababu yulemsichana kamwambia tayari anamtu wake wana miaka 3 na mimi ....
ni rafiki yake na uwanaenda room kwake kupga story wakati nishakata mawasiliano nae kitambo na mimi aligoma kuniambia yupo in relationshp zaid ya kusema yupo bize na masomo na aitaj story za mapenzi.WADADA KWANINI KUSEMA UKWELI KWENU INAKUWA NGUMU mnapenda shortcut sana