Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.
Kuunganisha hizo bao 3 anakojoa kama kuku? Vijana mna mambo
 
Ukweli wanaume wanaboa yn mtu full mbwembwe unajua leo ntakomeshwa nenda sasa yan ikiingia tu imeshalala akijitahidi cha pili utachoka sio kwa kupepea mpaka unachoka kakisimama dakika mbili kamelala ukute tena ni kabamia unaweza kutapika
 
inategemea ntu na ntu baaah,nikishakula korosho na kushushia juisi ya bibo,shughuri yake si nchezo
 
Jaribu kufanya mapenzi na wanaume kama 20 hivi ndo utajua je kunaukweli katika hilo? usisikilize maneno ya mtaani
 
Wakati mwingine unakuta mwanamke mwenyewe humpi jamaa mzuka wakati wa ku do, stimulation ni muhimu sana asa mtu hata kuguna huguni, hutikisiki na hata kumpapasa tu jamaa akuna asa baadae jamaa anaanza kuwaza ivi nagegeda marehemu au ni mtu hai. Iyo inakata sana stimu cz mtu anajiona kama anakulazimisha n like u don't care. Lakini pia hii haibadili ukweli kua saivi majority wanaume nguvu zimepungua.
 
Ukweli wanaume wanaboa yn mtu full mbwembwe unajua leo ntakomeshwa nenda sasa yan ikiingia tu imeshalala akijitahidi cha pili utachoka sio kwa kupepea mpaka unachoka kakisimama dakika mbili kamelala ukute tena ni kabamia unaweza kutapika
Hahaha...nunua dildos
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom