Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,
Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,
mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?
Kutulia na mke mmoja hamuwezi?
BADILIKA TAFADHALI.
Huu udini umeuanza lini Tayta?
...
Hivi ni watu wa dini gani hawachepuki?
...BADILIKA TAFADHALI.
Tatizo ni ukitombi
Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza
halafu na ww bint hebu punguza ukali wa maneno basi. Kitombi ndio nn?!..... Hujui kuwa practise make perfect?! Hzo mechi za ugenini ni kwaajili ya kukupa uzoefu kwa mechi za nyumban kwahyo hlo lisikupe shida ndivyo mfumo ulivyo sasa hv
utamu.....
Hilo ni janga jamani. Kweli wanaume wabadilike na huwa sifahamu kwa nn wanaoa Kama hawawezi kukaa na mwanamke mmoja
Ha ha ha come on...nani kakudanga ukicheza mechi za mchangan itakusidia kuwa champion kweny league kuu...
Kuwa mzooefu kwenye uwanja wako wa home like messi no matter uwe mbali kiaje or kona ipi lazima utikise nyavu...
Fanyia mazoezi kiwanja cha home bhana kitakusaidia kujua korongo na kona ipi ya kufungia
Ni ngumu sana kula msosi ule ule miaka nenda rudi
ww acha kunidanganya.... Hahahaaa! Uwanja wa nyumbn ni kwaajili ya mechi za muhm tu! Kama kutafuta mtoto ........ Lakin haiwezekan kila zoez nifanyie uwanja wa nyumban si utachakaa? Vile vile haiwezekan nikutane na ww na nikutaman halaf nishndwe kukuaproach et kisa nina mke! Hapo siwez kuumiza moyo wangu kiivyo hapo lazme nifanye juu chini na nikunyakue hata kwa ulaghai
yeeeees! Guuuuuuuuuuud! Et kila siku wali nyama. Ipo sku utashindwa kumeza utatapika..... Hvyo lazma ukatafute apetite nje kwa kula hata kitimoto
Tatizo ni ukitombi
Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza
Tatizo ni ukitombi
Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza
Ndoa sio kifungo cha nyeti za mwanaume!
wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea
fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli.
yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue!
lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
Eti eeeh kwa hiyo wewe unaoa still michepuko unataka...ndoa ya aina gani hii
Ndoa sio kiivyo n kiapo tna zaidi ya kifungo
Kuna mahusiano gani kati ya dushelele ya mtu na tabia yake???????