Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,
Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,
mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?
Kutulia na mke mmoja hamuwezi?

BADILIKA TAFADHALI.

Huu udini umeuanza lini Tayta?
...
Hivi ni watu wa dini gani hawachepuki?

kwa wanaoruhusiwa mke zaidi ya mmoja....je wamepewa muda mpaka waanze kutafuta mke mwingine?
N/B...THERE IS NOTHING EITHER GOOD OR BAD ...BUT THINKING MAKE IT SO.....
 
Tatizo ni ukitombi
Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza

halafu na ww bint hebu punguza ukali wa maneno basi. Kitombi ndio nn?!..... Hujui kuwa practise make perfect?! Hzo mechi za ugenini ni kwaajili ya kukupa uzoefu kwa mechi za nyumban kwahyo hlo lisikupe shida ndivyo mfumo ulivyo sasa hv
 
halafu na ww bint hebu punguza ukali wa maneno basi. Kitombi ndio nn?!..... Hujui kuwa practise make perfect?! Hzo mechi za ugenini ni kwaajili ya kukupa uzoefu kwa mechi za nyumban kwahyo hlo lisikupe shida ndivyo mfumo ulivyo sasa hv

Ha ha ha come on...nani kakudanga ukicheza mechi za mchangan itakusidia kuwa champion kweny league kuu...

Kuwa mzooefu kwenye uwanja wako wa home like messi no matter uwe mbali kiaje or kona ipi lazima utikise nyavu...
Fanyia mazoezi kiwanja cha home bhana kitakusaidia kujua korongo na kona ipi ya kufungia
 

ww acha kunidanganya.... Hahahaaa! Uwanja wa nyumbn ni kwaajili ya mechi za muhm tu! Kama kutafuta mtoto ........ Lakin haiwezekan kila zoez nifanyie uwanja wa nyumban si utachakaa? Vile vile haiwezekan nikutane na ww na nikutaman halaf nishndwe kukuaproach et kisa nina mke! Hapo siwez kuumiza moyo wangu kiivyo hapo lazme nifanye juu chini na nikunyakue hata kwa ulaghai
 
Ni ngumu sana kula msosi ule ule miaka nenda rudi

yeeeees! Guuuuuuuuuuud! Et kila siku wali nyama. Ipo sku utashindwa kumeza utatapika..... Hvyo lazma ukatafute apetite nje kwa kula hata kitimoto
 

U deserve this
 

Attachments

  • 1396861258062.jpg
    37.4 KB · Views: 436
yeeeees! Guuuuuuuuuuud! Et kila siku wali nyama. Ipo sku utashindwa kumeza utatapika..... Hvyo lazma ukatafute apetite nje kwa kula hata kitimoto

Umeona eeh, tunatamani tutulie lakini tunachoka, unatamani ladha nyingine
 
Tatizo ni ukitombi
Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza

lakin najua unatambua kuwa wanawake ndio weng kuliko wanaume........ Hebu nikuulize........ Ungejiskiaje kuona wanaume wote wametulia na wake zao wakat huo ww peke yako ndio hujaolewa na hakuna mwanaume yeyot anayekutongoza ungejiskiaje hapo?! Sisi tunafanya hvyo kuwaondolea stress wale ambao hawajaolew na waliotendwa ili na wao wajiskie kuwa wanapendwa. Kwahyo msitulaumu sana tupo kwaajili ya kuwapa moyo waliokata tamaa
 
Ndoa sio kifungo cha nyeti za mwanaume!

Eti eeeh kwa hiyo wewe unaoa still michepuko unataka...ndoa ya aina gani hii

Ndoa sio kiivyo n kiapo tna zaidi ya kifungo
 

Kuna mahusiano gani kati ya dushelele ya mtu na tabia yake???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…