Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Watanzania tumekuwa wahanga wa Hesabu za number nyingi zinazosomwa kwa haraka sana.Tumewasikia wengi sana ikiwepo ktk wizara za ujenzi, nishati, etc.Sababu ni kwamba Binadamu na number wana shida sana ,ndio maana wengi walipenda kutumia graph au michoro zaidi.Ni rahisi kumchanganya mtu kwa number haswa ikiwa zinasomwa kwa haraka sana ,na pale number hizo zinahitaji machapisho mengine ya kusaidia mtu kupata uhakiki au kuhitaji kumbuka number ndefu na nyingi zilziotajwa kwa haraka ktk mfululizo wa matukio.Number zinatisha sana..watu wanaogopa sana number kihasilia..na number zinatisha.Wanasiasa wamegundua watu wa masoko wanajua ,na watapelei wanajua hilo ndio maana wote hutumia number kuuza,kuiba,kuficha ukweli au kupotosha au kuongeza bei ya vitu.