...nafikiri Kuna maswali mengi ya kuhoji kuhusu uvaaji wa sare fulani mfano, jwtz, police, waganga, nurses, wanafunzi, e.t.c hapa unafanya simple reasoning Tu, wakati wewe ukiwa shule ya msingi hukuvaa nguo zako za nyumbani Bali ulivaa aina flani ya nguo, je unaweza kueleza sababu za wewe kuvaa hizo nguo?