Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kwanini wale wanaharakati wa Twitter hukiwachalenji kidogo tu kwenye hoja zao wanakutia ban,
Kwanini?
Kila wanachosema wao wanataka ukiunge mkono ukibishana nao tu tena kwa hoja wanakutia ban kwa nini?
Mimi sio mwanasiasa, na sio mwanachama wa chama chochote, huwa nasema kweli kwenye kweli, na kweli penye uongo.
Halafu ndio hao wanaharakati wanaotetea Uhuru wa kutoa maoni wakati wao hawapendi kusikia baadhi ya vitu flani fulani,
Wanajifanya ni magreat thinker wakati wako empty, Zero brain,
Ukiwajibu kwa fact wakiona kweli wamehelemewa wanakutia ban, usione, wala kureply kwenye post
zao shubamit.
Wanaharakati uchwara.
Nb:
Yule ndugu yao Kigogo aliyewasaliti aliniban kitambo kisa nimechallange , yule wakujiita Maltin M. M Nae kaniblock, yule mdada wao anaetukana tukana bila staa nae kaniblock,
Alafu wanajiita wanaharakati watetezi wa haki za binadamu.
Cc Zero IQ
Kwanini?
Kila wanachosema wao wanataka ukiunge mkono ukibishana nao tu tena kwa hoja wanakutia ban kwa nini?
Mimi sio mwanasiasa, na sio mwanachama wa chama chochote, huwa nasema kweli kwenye kweli, na kweli penye uongo.
Halafu ndio hao wanaharakati wanaotetea Uhuru wa kutoa maoni wakati wao hawapendi kusikia baadhi ya vitu flani fulani,
Wanajifanya ni magreat thinker wakati wako empty, Zero brain,
Ukiwajibu kwa fact wakiona kweli wamehelemewa wanakutia ban, usione, wala kureply kwenye post
zao shubamit.
Wanaharakati uchwara.
Nb:
Yule ndugu yao Kigogo aliyewasaliti aliniban kitambo kisa nimechallange , yule wakujiita Maltin M. M Nae kaniblock, yule mdada wao anaetukana tukana bila staa nae kaniblock,
Alafu wanajiita wanaharakati watetezi wa haki za binadamu.
Cc Zero IQ