TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
Nimerudi wana jamvi,
Naona ajabu wanafunzi wetu hasa wa shule za msingi kukaa chini wakati nchi yetu ni tajiri wa misitu ya mbao kuanzia ya asili hadi ya kupanda, kiasi kwamba tunasafirisha mbao nje ya nchi, haya ni maajabu ya Musa na mwenzie Firauni.
Naona ajabu wanafunzi wetu hasa wa shule za msingi kukaa chini wakati nchi yetu ni tajiri wa misitu ya mbao kuanzia ya asili hadi ya kupanda, kiasi kwamba tunasafirisha mbao nje ya nchi, haya ni maajabu ya Musa na mwenzie Firauni.
Last edited by a moderator: