nonsense ๐Wanasema hitilafu kwamba ndani ya hayo masaa matano wamepata wametengeneza na kufunga kila kitu?
Hio hitilafu imetokea maeneo gani? Hao waangalia mitambo hawakujua tatizo hilo mapema ifike saa moja ukatike huo huo muda mtume na tanganzo? Mmmmh hii tangagiza msijekuwa mmeingiza mamuluki wakutuua hio tarehe saba
Kama mmezima umeme ili mpitishe silaha zenyu za mauaji msemo msine kutupiga za vichwa tena
Bahati yao jana simu yangu ilikua full charge tangu wamekata mpaka umerudi nipo hewani nasemaje kuna ya mama yake ungekata vile halafu simu yangu haina charge ningewafuata nikawatukane vizuri baadae simu ikikosa charge na umeme hamna nakosa amani kabisa rohoni na moyoni nahisi km shetani anabisha hodi motoniWanasema hitilafu kwamba ndani ya hayo masaa matano wamepata wametengeneza na kufunga kila kitu?
Hio hitilafu imetokea maeneo gani? Hao waangalia mitambo hawakujua tatizo hilo mapema ifike saa moja ukatike huo huo muda mtume na tanganzo? Mmmmh hii tangagiza msijekuwa mmeingiza mamuluki wakutuua hio tarehe saba
Kama mmezima umeme ili mpitishe silaha zenyu za mauaji msemo msine kutupiga za vichwa tena
How you doing ๐maswali mazuri, wacha tusubiri majibu, vizuri hajaacha lipite kama si kitu!
Mkoa wa MaraWapi huko?