Wahaya wamesoma sana hivyo wanajua haki zao, uwa hawaonewi hovyo hovyo. ndio maana wanaogopwa, suala la ngono, fuatilia takwimu ya TACAIDS, utakuta mbeya wanaongoza kwa ukimwi, wanafuatiwa Iringa na Dar, wahaya hawamo hata kwenye top ten za ukimwi, upo
Siku hizi hawamegwi hovyo hovyo
Bujibuji umenena kweli wahaya ni wabinafsi sijapata kuona hawa jamaa Nyerere aliwastukia siku nyingi.kwa upande wa ngono usiseme kitu hapo umewafikisha nyumbani unafikiri ni kwanini ukimwi ulitamalaki Bukoba ?,Ni kwasababu ya kupenda jigijigi unajua kuna kale kamchezo kao wanakaita katerero ndio kamawafanya waabudu jigijigi.
Tangu lini Mhaya akakata jigijigi,ukikataliwa na Mhaya nenda kaoge na maji ya baharini.
Wewe inaelekea huwajui wahaya kabisa ni kabila la wapenda jigijigi hujapata kuona.
Vipi mbona unakuwa mkali jibu hoja wacha kukimbilia mtu.Hakuna porojo wala nini ukweli unabaki ni ukweli wahaya wanajulikana kwa sifa ya ...................
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
KINACHOSABABISHA, KWA MTAZAMO WANGU NI ILE HALI YA "NSHOMILE". Ukimkuta mhaya anajisifu kwa kusoma na VINGEREZA vyake.... utashangaa......!!!! Maana CHINGEREZA kila baada ya maneno mawili matatu ya kiswahili hata kama yupo mibikimitari kule Iringa ambako ni full KIHEHE.......... Hiyo ya kujisifia wengi hawaipendi....... Hata kama mmoja hayupo hivyo...... wengi huwa tunaona anazuga tuu........ akishapata akitakacho VINGEREZA vitaanza........Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
umenena hawa dugu moja angalia EPA Matumizi mabaya ya madaraka,wako sawakwa hiyo wahaya, wanyakyusa na wachaga ni ndugu moja.
kwao wote kuna kahawa na migomba
wee nawe unataka sifa tu huna lolote sasa unamaana gani umeona sifa sana au halafu mtu anayejisifia kwa mambo ya ndani kawaida huwa hawezi kitu kuwa ndugu yanguMi mbona juzi nimemmega mmoja?!tena kiulaniiii-wala sikusomesha-mbaya zaidi baada ya kumega ananiambia ni mke wa mtu!!!!!
UTAKUFA NACHO KIJIBA CHA MOYO.
Infuakti hawa jamaaa hamtuwezi kitendo cha kila siku kutaka kutujadili sisi inaonyesha ni kwa kiasi gani tuko juuu na ni threat, bahati yenu BABU yenu aliyeiletea umasikini nchi hii alitupunguza makali. hizo fact zote mimi binafsi sijawahi kukutana nazo unless wewe ni mmoja wa WASWAHILI fulani ambao hamtaki hata kuwapangisha nyuma wanaume wenye wapenzi au wake.
THE TRUTH is wahaya wanajua haki zao, hawako tayari kwa manyanyaso, sio kama nyie mnaonyanyaswa na wenye nyumba kama vile mnakaaa bure.
achana na hao watu...wanapenda sana kumega/kumegwa nnje tena bila usalama wowote...ngoma nje nje hapo...
kwa hiyo wahaya, wanyakyusa na wachaga ni ndugu moja.
kwao wote kuna kahawa na migomba
Kaka umemaliza ni bora hii thread ikafungwa sasa!wahaya, wanyakyusa, wachaga na wahindi ni makabila yale yale. Isipokuwa sifahamu wahindi wanatokea mkoa gani. Wanaona watu wa kabila zingine hapa nchini kama si wenzao, na hawaamini mtu hata kidogo.
Wahaya ni watafutaji hela kwa big deals kuliko yeyote hapo juu. Na ni matapeli kuliko wa-Nigeria. Problem ya wahaya ni wafujaji vibaya mno. Siyo wachumi hata kidogo.Ndiyo maana fresh graduate wa kihaya akiajiriwa tu BOT tayari cha kwanza anatafuta Mercedez, Kinachofuata sielezei. Na mambo ya groundfloor yanawasumbua sana. Wahaya wengi kwa kupenda totoz wamebadili dini kutoka ukatoliki kuwa waislamu ili tu waoe watoto wa kiarabu. Jamaa wako tayari kufa kwa kupigania 'embe dodo'
Halafu ni wapenda sifa hakuna mfano. Hakuna mhaya mwenye mshipa wa straight answers. Jina lako nani, utakuta anajibu unajua jina langu nilipewa na na aunty wangu aliyeko ufaransa blah blah kibao.
Wachaga ni watafutaji wa hela lakini kikubwa ni wachumi wazuri sana. Ila wezi sana, ukizubaa wanakupiga kweupe. Wengi wanaanza na vijiduka vya unga nusu na robo baadaye unakuta wana Guest House. Hapo siyo mkopo benki wala nini, asubuhi anakuuzia nusu na robo, usiku anakuingilia na kukuibia kila kitu. Lakini wanaiba na kuacha wakishatajirika, tofauti na mzaramo anaiba halafu kuacha hawezi, mpaka ije siku wamchome na petroli. Benki ya mchaga kwa mikopo ni dili za ujambazi au rushwa. Mchaga anaiba na anaendelea kibiashara, mzaramo hata aibe vipi hawezi kutajirika.
Wahindi ni balaa kwenye deals, halafu ni wachumi wazuri sana. Kibaya jamaa wanaloga mchana mchana, hawa jamaa ni wanga vibaya sana. Mhindi anaweza kujinyonga kabisa akiona mfanyakazi wake kanunua gari. Huo ndio wivu wa kichawi.
Wanyakyusa ni watafutaji wazuri pia, tatizo lao ni kama wahaya, wote majigambo, undugunaizesheni, totoz, kibaya zaidi ushirikina. Unyakyusani ni bora umamue kuwa mlokole au la uwe mchawi, hivi hivi hufiki mbali.
Tusameheane jamani. Mnasomeka hivyo.
Mmh !we mtu acha uzushi basi.Tanzania hakuna ukabila kiasi hicho.
Kweli GS TZ hamna kitu hiyo bwana
wahaya sio wabaya sana...
but ukweli wana sifa nyingi nzuri na sifa nyingi chafu...
1.wahaya wanapenda shule,wana pride ya aina fulani inayowafanya
wa strive for success, wanashindana kusoma na kufanikiwa.
1. kwa upande mwingine wana maadili mabovu zaidi kwenye ngono..
2. wanamegana ovyo ovyo na ndio maana ukimwi ulianzia kwao hapa tanzania.
3. wanawake wa kihaya wengi ni loose ball.ingawa sio wote but
4. wengi wao wanamegwa megwa ovyo hata kama wana waume wenye sifa zote.
5. matapeli wengi ni wahaya
6. warushi, ukifanya nao dili, kuna 70% chance ya kurushwa au kutopata unachotaka
7. Warushi, acha kabisa!!!
8. wanawake wa kihaya ndio walioanzisha biashara ya ukahaba jijini Daresalaam.