Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Habari,
Wakuu naomba kujua toka kwa anaejua kwanini wafanyakazi wa mashirika ya umma hawako entitled na msamaha au punguzo la kodi toka TRA?
Najua wafanyakazi wa serikali kuu na serikali za mtaa wana tax exempt toka kwa mwajiri wao ambae ni serikali, je kwanini wa mashirika ya umma hawana huo upendeleo kwenye kodi hasa kama unaagiza kitu toka nje.
Sababu ya hii ni nini?
Wakuu naomba kujua toka kwa anaejua kwanini wafanyakazi wa mashirika ya umma hawako entitled na msamaha au punguzo la kodi toka TRA?
Najua wafanyakazi wa serikali kuu na serikali za mtaa wana tax exempt toka kwa mwajiri wao ambae ni serikali, je kwanini wa mashirika ya umma hawana huo upendeleo kwenye kodi hasa kama unaagiza kitu toka nje.
Sababu ya hii ni nini?