Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Shetani siku zote hapendi kina chopendwa na Mungu
Wewe unaewachukia wayahudi una nin, waangalie wamarekan wanvyomtetea myahudiMijitu meusi....inawapenda wayahud kuliko baba zao ...
Ila lazima udungwe sindano ya kuzuia usizae mkuu, Taifa lenu teule HiloWahabeshi wangapi wamefia kwenye magari wakipita na wale wanaopona wanawekwa magerezani? Wakimbizi wa kirundi au Rwanda walishapewa kazi kama siyo kuwekwa makambini na misaada siyo ya tanzania bali ya UN. Hawa wakienda Israel wanaishi kuwa mitaani na kuwa omba omba.
Wewe umefika Israel kuona wakimbizi wanaoenda kule wanavyotunzwa? wana matunzo mazuri kulinganisha na hawa tunaowasweka lupango na wengine kuishia makambini. Naongea kwa kuwa shahidi kutokana na kazi yangu.
Mijitu meusi....inawapenda wayahud kuliko baba zao ...
Ila lazima udungwe sindano ya kuzuia usizae mkuu, Taifa lenu teule Hilo
Kwaiyo ukiwapenda wayahudi unafanikiwa kiuchumi duniani!!!?Hakuna mweusi anaefukuzwa Israel ,inamaana wasipofata taratibu za uhamiaji waachwe mkuu?mim ninekuwa Israel for the last two months hawana shida so long unafata sheria ,waangalie wamarekani walivyowapenda wayahudi na ndio taifa lilifanikiwa na uchumi mkubwa dunian
Eti kwa Nini waafrika hawakimbilii Iran?Kwaiyo ukiwapenda wayahudi unafanikiwa kiuchumi duniani!!!?
Kama unasoma habari sasa hivi angalia mtu aliyeua watu 20 texas manifesto yake. He mentioned unti semitic with other races. Sasa Myahudi bila kujilinda na amezungukwa na maadui ulimwengu mzima afanyeje? Wayahudi wenye asili ya Ethiopia mbona walichukuliwa wakati wa njaa na mpaka sasa wame integrate kwenye society.Ila lazima udungwe sindano ya kuzuia usizae mkuu, Taifa lenu teule Hilo
Mayahudi ni shidaKama unasoma habari sasa hivi angalia mtu aliyeua watu 20 texas manifesto yake. He mentioned unti semitic with other races. Sasa Myahudi bila kujilinda na amezungukwa na maadui ulimwengu mzima afanyeje? Wayahudi wenye asili ya Ethiopia mbona walichukuliwa wakati wa njaa na mpaka sasa wame integrate kwenye society.
Hao ni wale waliokarilishwa kitabu kitakatifu.....ambao wanaamini juu ya taifa teule....Zamani nilikua sielewi kwanini Mwl JK Nyerere alikua hawafagilii hawa jamaa wakati Mwalim ni Mkristo na hata ubalozi wao umefunguliwa juzi tu na JPM...Nilipokua na kuacha kushikiwa akili na kutafakari mambo kwa kina nikajua Mwl alikua sahihi.
Hawa jamaa kwanza nchi wanayoclaim kuwa ni yao waliyopewa na Mungu, kwenye bible inasemekana kuwa ni ya maziwa na asali cha ajabu mi naona jangwa tu pale...as a reasonable man siwezi kuamini kama hili ni taifa teule wakati kuna vingi walivyojibebesha kwenye bible haviko hivyo....ila ukiwaambia wenzangu na mimi wanakuona umepotoka.
Hakuna mweusi anaefukuzwa Israel ,inamaana wasipofata taratibu za uhamiaji waachwe mkuu?mim ninekuwa Israel for the last two months hawana shida so long unafata sheria ,waangalie wamarekani walivyowapenda wayahudi na ndio taifa lilifanikiwa na uchumi mkubwa dunian
2ngeteseka sana asee east africaat certain time in the future hii democracy itabidi tuidefine upya!..
Hivi whats special with Uganda, nakumbuka Israel kabla hawajawekwa walipo sasa ilikuwa wapewe eneo Uganda kuanzisha taifa lao.