DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,472
Kwani ukijibu vizuri jibu linaloeleweka au kukaa kimya kama hujui utapungukiwa nini.Nadhani na wewe kwasababu unalowa na mvua unateswa na jua tukupigie Bati KICHWANI.
Mimi nimekuelewa Sana maana wengi tunaona adha wanayopata Wachezaji. Lakini Kwanza tujiulize Mapato ya Kwa Mkapa yanatumika Kwa kazi gani? Mbona kuna viwanja duniani havijafunikwa lakini haviathiriwi na mvua isipokuwa barafu? EMIRATE'S pale London mvua inanyesha SAA 7 SAA 9 watu wanacheza na halafunikwi. Uwanja ukiwekewa miundombinu ya kunyonya maji hayawezi kuweka madimbwi kama ya pale Kwa Mkapa.Moja ya changamoto kubwa ya Uwanja wa Mkapa ni kuharibika mara kwa mara kwa sehemu ya kuchezea kutokana na jua kali au mvua.
Leo nakuja na pendekezo kuntu, kwa nini tusiezeke bati kumaliza changamoto hizi? Kule Singapore wana uwanja ambao paa lake linaweza kufungwa au kufunguka kulingana na mazingira ila ujenzi au maboresho ya namna hii ni gharama sana.
Tukumbuke pia viwanja vingi duniani vikijengwa huwa wanaweka alama fulani katika muonekano ya utambulisho wa jamii ya watu wale. Nakumbuka kule Qatar kuna uwanja uliojengwa kwa mfumo wa kofia ya kiarabu. Sina uhakika ile design inayozunguka uwanja wa Mkapa inaashiria nini katika tamaduni zetu ila bati utalikuta kila mtaa na kitongoji cha nchi hii.
Bati ni moja ya nembo ya ujenzi wa kitanzania, tulienzi kwa kuliezeka uwanja wa Mkapa. Tutakuwa tumeua ndege wawili kwa jiwe moya.
Naunga mkono hoja yako.mimi nafikili kwa sasa issue ni ya drainage ili maji yasituame ila swala la kufunika kwa bati mzee kwa joto la mjini itakua barah uwa kuna material special ambayo yana weza vumilia joto na jua(Teflon)
Unataka tukale wapi uwanja ukijaa maji.?Tatizo mkuu tumo kwenye nchi ya royal families wao wanachojali kula pie ya taifa peke yao,uwanja wa mkapa unahotaji ni drainage systems underneath na tumpate groundman anayejua kazi yake
PIGWE MSAUZI MMOJA MATATA AU SIO...πππ!!!Moja ya changamoto kubwa ya Uwanja wa Mkapa ni kuharibika mara kwa mara kwa sehemu ya kuchezea kutokana na jua kali au mvua.
Leo nakuja na pendekezo kuntu, kwa nini tusiezeke bati kumaliza changamoto hizi? Kule Singapore wana uwanja ambao paa lake linaweza kufungwa au kufunguka kulingana na mazingira ila ujenzi au maboresho ya namna hii ni gharama sana.
Tukumbuke pia viwanja vingi duniani vikijengwa huwa wanaweka alama fulani katika muonekano ya utambulisho wa jamii ya watu wale. Nakumbuka kule Qatar kuna uwanja uliojengwa kwa mfumo wa kofia ya kiarabu. Sina uhakika ile design inayozunguka uwanja wa Mkapa inaashiria nini katika tamaduni zetu ila bati utalikuta kila mtaa na kitongoji cha nchi hii.
Bati ni moja ya nembo ya ujenzi wa kitanzania, tulienzi kwa kuliezeka uwanja wa Mkapa. Tutakuwa tumeua ndege wawili kwa jiwe moya.
Mambo yetu kivyetu vyetu. Baada ya muda wakipiga picha ya juu, tuone bati lenye kutu π€£ππ€£ Hiyo ndio Tanzania tunayoijua na tuliyoizoea.PIGWE MSAUZI MMOJA MATATA AU SIO...πππ!!!
Ujima upi?Bajeti ya ujenzi wa hicho kiwanja ilikuwa ni mpaka kufunika uwanja wote kwa paa, hela ilipitishwa na kutengwa kwa kazi hiyo.
Uongozi wa awamu ya nne ulikuwa wa kihuni sana, hela ilipigwa na ujenzi ulikomea kama kiwanja kilivyo leo.
Ni kiwanja cha enzi ya ujima hicho.
Pale kupiga bati haizidi 500 milioni.Embu tulirudie hili wazo ndugu zanguni. Kufumua nyasi zile eti kuweka drainage system mwisho tukutane na maskeleton ya kila mnyama kule chini ilete tafrani bure.
Utamaduni wetu hatufukui makaburi!
CAF wakihongwaba msigwa wajaufungulua.Kwan huo uwanja CAF hawajaufungia tu?