Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
HoneyBee ngoja nijaribu kujieleza lkn tunahitaji kukubaliana sehemu ya kuanzia.
Chanzo cha UOVU ni shetani right?
Chanzo cha WEMA ni Mungu!
I hope hapo tunakubaliana.
Kama ndiyo ROLE ya mwanadamu ni nini?
Uchaguzi wa kumfuata shetani au Mungu. Njia ya Mungu inapingana na Ubinafsi, njia ya shetani inafagilia Umimi/Ubinafsi. Ubinafsi unavutia zaidi na unaambatana na vitu vizuri kwa nje; hivyo shetani hana kazi kubwa sana ktk kushawishi watu wajipe ile kitu roho inapenda. Unahitaji nguvu zaidi au Neema kuyaacha ya kidunia (ubinafsi na anasa zake) kuliko kumfuata shetani na ubinafsi. Hiyo nguvu ya ziada au Neema ndicho ninachokiita Roho wa Mungu.
Hakuna anayetenda wema kwa nguvu zake mwenyewe kwani tupo weak sana kuliko majaribu ya shetani. Hivyo basi, ukikubali udhaifu wako na kujikabidhi kwa Mungu kwa sala na kufunga, Jaribu (vishawishi vyovyote vitalavyokujia), Mungu atakushindia (for you).
Sasa basi, kuna wanaokiri udhaifu bila kufanya juhudi ya kuacha udhaifu huo au hata kudhamiria kuuacha (nafikiri ndio unaowazungumzia); kitendo chao cha kutofanya juhudi ya kuacha naweza sema wamekamatwa vizuri na shetani. Swala wewe mtendewa ubaya ufanyeje?
Ni machaguo yako, lkn kama mtu wa Imani nashauri; pamoja na maamuzi mengine mazuri uliyoamua (kutengana, kureason naye etc) usiache kumuombea. Umuombee (kumfungua kutoka ktk minyororo ya shetani) ili aache njia za kishetani.
Chanzo cha UOVU ni shetani right?
Chanzo cha WEMA ni Mungu!
I hope hapo tunakubaliana.
Kama ndiyo ROLE ya mwanadamu ni nini?
Uchaguzi wa kumfuata shetani au Mungu. Njia ya Mungu inapingana na Ubinafsi, njia ya shetani inafagilia Umimi/Ubinafsi. Ubinafsi unavutia zaidi na unaambatana na vitu vizuri kwa nje; hivyo shetani hana kazi kubwa sana ktk kushawishi watu wajipe ile kitu roho inapenda. Unahitaji nguvu zaidi au Neema kuyaacha ya kidunia (ubinafsi na anasa zake) kuliko kumfuata shetani na ubinafsi. Hiyo nguvu ya ziada au Neema ndicho ninachokiita Roho wa Mungu.
Hakuna anayetenda wema kwa nguvu zake mwenyewe kwani tupo weak sana kuliko majaribu ya shetani. Hivyo basi, ukikubali udhaifu wako na kujikabidhi kwa Mungu kwa sala na kufunga, Jaribu (vishawishi vyovyote vitalavyokujia), Mungu atakushindia (for you).
Sasa basi, kuna wanaokiri udhaifu bila kufanya juhudi ya kuacha udhaifu huo au hata kudhamiria kuuacha (nafikiri ndio unaowazungumzia); kitendo chao cha kutofanya juhudi ya kuacha naweza sema wamekamatwa vizuri na shetani. Swala wewe mtendewa ubaya ufanyeje?
Ni machaguo yako, lkn kama mtu wa Imani nashauri; pamoja na maamuzi mengine mazuri uliyoamua (kutengana, kureason naye etc) usiache kumuombea. Umuombee (kumfungua kutoka ktk minyororo ya shetani) ili aache njia za kishetani.
Last edited by a moderator: