Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,729
- 13,748
Wakuu
Kuna mambo yanafikirisha sana,mwanaume rijali,misuli imenyooka kama mimi, unakwendaje kununua malaya?
Katika maisha yangu huwa naona bora nikamatwe na mke wa mtu kuliko kudharirisha utu wangu kwa malaya ambaye unajua kabisa huyu ametoka na mwanaume mwingine na nikitoka pia atakuja mwanaume mwingine, ni upumbavu gani huo mpaka unanunua?
Shahawa,harufu,kujidharirisha,kushusha thamani ya mwanamke(unamnunua),mikosi na magonjwa yasiyotibika yanaweza kuwa ni miongoni mwa hasara za kununua malaya.
Huu ushenzi huwa siutaki na stajaribu kununua malaya.
Tubadilike.
Kuna mambo yanafikirisha sana,mwanaume rijali,misuli imenyooka kama mimi, unakwendaje kununua malaya?
Katika maisha yangu huwa naona bora nikamatwe na mke wa mtu kuliko kudharirisha utu wangu kwa malaya ambaye unajua kabisa huyu ametoka na mwanaume mwingine na nikitoka pia atakuja mwanaume mwingine, ni upumbavu gani huo mpaka unanunua?
Shahawa,harufu,kujidharirisha,kushusha thamani ya mwanamke(unamnunua),mikosi na magonjwa yasiyotibika yanaweza kuwa ni miongoni mwa hasara za kununua malaya.
Huu ushenzi huwa siutaki na stajaribu kununua malaya.
Tubadilike.