Kwanini Unaogopa Kufa?

wazo la 'kukata roho' ndo linaniogopesha. Sijui kwanini (wala si hofu ya life after death), lakini kwa experience yangu nilivyoona watu wanavyokata kata roho, dah, sitaki kujiona in that situation.
I hope nife nikiwa usingizini/unconcious
Wengine wanakunya kabisa eti 🤣
 
Hakika kifo kinatisha embu siku moja nenda kahuzurie au kashiriki mazishi ya kiislam ndo utaelewa ni maana halisi ya kifo
 
NDIYO, Moja ya Nyingi Sababu...

Je, vipi ikiwa Sisi sote ni 'Kumbukumbu Zinazoishi'(?)
Pasi na shaka ipo namna ya 'Kujiongeza', mwangaza unaweza kufanyika katika sisi kuhusu na 'Kumbukumbu'...
Wakati mmoja, siku si nyingi, maarifa zaidi kuhusu 'nafsi / nafsi-Roho' yatatufikia; kwa kuwa hili ni muhimu sana ili kuweka sawa msingi wa UTU-MAADILI-UNYOOFU-MAPENZI MEMA hata ilivyo mbali kupita 'Habari Mapokeo ya Dini'...

Siku za mbele ndiyo mambo yatakayokuwa yakifanyika katika 'Vituo vya Utamaduni' -- Kuwafundisha wanajamii 'Sanaa za Kuishi na Sana za Kufariki'...​

== Shauri : Kupuyanga Njia ==

‘Kupuyanga Njia za Maisha’ kwa ‘Kihoro, Mapepo na Ramli’, kiuono na ufikirifu mifumo, ni ule muktadha akilifu wa ‘Kutojiongeza Kitalanta’; ambavyo kule kudhani tunaishi kwenye ‘Matriksi Ovu’ basi ndiyo ipelekee ‘Uhalali wa Kususa’ hata kile kidogo tunachopatiwa na hii ‘matriksi ovu’ kama ‘Kianzio’ cha ‘Nia na Dhamira’. Hili lafanya, ‘Kuzizidisha Talanta’ ni ufunguo wa ‘kurudishia Uzima Zaidi’ hii ‘matriksi’ tunayoishi; kwa kuwa ‘Uweza-Utayari-Umahiri’ ndiyo wenye kuyakinisha ‘Uovu ama Wema wake’ kwa kadiri ya ‘Matendo yetu’ na basi, ‘Mavuno ya Kazi’ zetu wakati hata wakati…

Talanta ni chochote kunachoweza kukitumia kiakili, nidhamu na maarifa kwa ajili ya kunufaika na muaakisiko wa ‘matunda ya kazi zetu’; ambavyo ‘WAKATI UJAO’ daima ni mfano wa ‘BABA’ – Baba anayetupatia ‘Kianzio SASA na LEO’ ili kusudi kesho ‘SISI kama WANA’ tutaitengeneza hesabu ya ‘KUFUZU sehemu ya Ye-Ye ilivyo ni Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu’ ili kujichagulia ‘MAPITO YETU’. Tena basi, hili ni sawa sawa na kusema hata sasa na leo tunatoa hesabu ya kuwa tumefuzu sehemu ya Ye-Ye (ilivyo ni Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu) kwa ‘manufaa ama uzembe ama kutojiongeza’.

Dhiki ni ‘Kiashirifu’ cha ‘Manufaa ama Uzembe ama Kutojiongeza’ katika MAISHA-KUISHI-UISHO ilivyo ni Usivilai na Utamaduni wa Jamii; ambavyo ‘faraja’ yeyote ndani ya ‘lindi la dhiki’, wakati mmoja hata mwingine ni ‘neema ya manufaa’ ya ‘SALA na KAZI’. Hili lafanya ‘SUBIRA ni IBADA’ kwa kadiri ya mtu/mwanajamii yeyote mwenye kuzitumia talanta za ‘BABA wa UZIMA-ZAIDI’. Tena basi, SUBIRA ni ufunguo wa UKUWA na UKUJAKUWA katika NEEMA na UJAZI ilivyo ni ‘ONTOLOJIA YA TAASISI’.

MAISHA ni SAFARI ya KIROHO, ilivyo ni MAGEUZI PERENIALI; Kwenye Mashauri ya Jinesesia, ile habari ya ‘ZAAENI MKAONGEZEKE NA KUIJAZA DUNIA’ ni konstrakti ya ‘UWAKATI’ kama jamvi la ‘Horizoni Tukio’ (Kiingereza > “Event Horizon” ); ambavyo ‘kukua na kuongezeka’ japo kwa sura ya nje ya mambo tunaweza kudhani na kutafsiri ni mambo ya chembe na chembe kugusana/kujaamiana – kutungika kitu kutokea kusiko ukitu na kuongezeka ili kufanya Uagrigati wa Densiti za Mifumo Hai ya Utendaji, kiukweli khasa wa mambo ‘Miili yote ni Densiti ya Mifumo ya Utendaji ilivyo ni Pumzi za Kazi ya Roho Mtakatifu’. Hili lafanya hata kule ‘KUTOJIONGEZA’ kidhamiri na nia katika Utashi wetu ni UZEMBE ama UKAFIRI.

ONTOLOJIA YA TAASISI ni MAGEUZI PERENIALI yanayoweza kuitika (1) UTANGAMANIFU wa DHAMIRA na NIA, ama (2) DISONIA YA DHAMIRA NA NIA; ambavyo ‘matriksi ovu’ si chochote bali nasibu ya disonia ya dhamira na nia miongoni mwa wengi wenye kufuzu neema za UFALME-NGUVU-UTUKUFU isivyo USAHIHI – isivyo ‘Usahihi wa KIMIFUMO’.

Hili la UFALME-NGUVU-UTUKUFU lafanya UPACHA WA ‘MIFUMO’ NA ‘WAKATI’ ndiyo wenye kuyakinisha (A) “Mapenzi kufanyika Duniani kama Mbinguni”, ama/na (B) “Kupuyanga Njia za Maisha” kwa ‘Kihoro, Mapepo na Ramli’…

Katika Kheri ya ‘Sala na Kazi’,’ Ufalme-Nguvu-Utukufu’ yawa ni Mambo ya “33 / 13” ya “Dhamira na Nia” – (A) SAFARI kwa ajili ya “Kanaani ya kitovu cha UTU” (Ukubuishi wa Fahamu na Mafahamu), na (B) KUTOKA (Mageuzi katika “Uzima Zaidi”) ilivyo ni “Utumwa kugeuka UHURU” ili MAISHA-KUISHI-UISHO iwe ni ‘UFALME USIOHAMISHIKA’ – Usiohamishika (MATRIKSI ilivyo ni UADILIFU WA HALI YA JUU KABISA KUWEZEKANA wa “KAZI ZA ROHO MTAKATIFU”) kwa kuwa “Kaanani ya Kitovu cha UTU” haiko huku wala kule bali ndani ya Mtu / Mwanajamii mwenyewe ilivyo ni ‘Kukumbuka-Kujikumbuka-Kukumbukwa’ katika “Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu” wa CHANZO/Mungu/UUNGU...

Kihoro, Mapepo na Ramli ni ‘laana’ ya kompleksi ya UTU-NAFSI-ROHO ilivyo ni ‘Kuizika Talanta’ kwa kule kutokuwa na 'Kukumbuka-Kujikumbuka-Kukumbukwa' katika makusudi ya ‘Udhamirifu wa Utu-Wema’, na tena katika ile “Nia” ya fanusi za Utendaji kwa nasibu ya ‘Utu-Jamii wenye Kheri/Uzima Zaidi’; ambavyo mtu / mwanajamii aliye ni ‘mzembe kiroho / Mwenyekujisahau’ ama ‘mwenye ukafiri’ anapoteza kitovu chenye kheri kwa Dhamira na Nia kwa mhimili wa kujichagulia kwake na basi “anafosi kingi” ile Jaala yake kwa kufisadi fursa za wengine katika ‘Utashi na Kujichagulia’.

Hili la ‘Uzembe-Kujisahau-Ukafiri’ lafanya Shauri ya kwamba Ujamii daima hufitinika wenyewe kwa wenyewe kulingana na ule ‘UTU-NAFSI-ROHO’ uliyo na makosefu – Dhamira na Nia mbovu kuziandama ‘nafsi’ za wanajamii katika ‘Mahusiano ya Kinguvu’… Mambo ya ‘Kusombwa na Upepo Mbaya’ wa dhamira na nia katika kuazimia na kukamia ‘Mema ya Nchi’--iwe hivyo kwa wema ama/na ubaya.

Kihoro huja kwa ‘Kujisikia’ na ‘Kushawishika’ na hali, ‘Mapepo’ ni muktadha akilifu wa dhamira na makusudi yenye kufitinisha ‘Sura na Mienendo ya Jamii’; ambavyo ‘Tabu ama Raha’, vivyo hivyo, ‘Bahati ama Mikosi’ huandama maisha ya wanajamii na jamii na tena kutegemeana na wao wenyewe wako katika daraja gani la UTU na KUJITAMBUA-- utu na kujitambua katika uagrigati wa Densiti ya Mifumo ya Utendaji – kama ‘Taifa’ ama ‘Nchi-dola’, kama ‘Kaya’ ama ‘Ukoo’...

Hili la Utu na Kujitambua, wakati mmoja hata mwingine, lafanya, uwezekano wa mawili (2) daima:- (A) MAISHA-KUISHI-UISHO wenye kuinuka, kustawi na Kusambaratika kwa fitina; ama na (B) MAISHA-KUISHI-UISHO wenye kuinuka, kustawi – na daima kuinuka tena kutoka katika majivu yake… Mambo ya ‘UTU na UFUNUO’ ilivyo ni fanusi ya Utendaji kwa ajili ya HEKIMA-UMOJA-AMANI’ na tena ‘SOVEREINI JUMUIFU’…

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, MAISHA-KUISHI-UISHO pasipo “Kanaani ya kitovu cha UTU” ni muktadha akilifu wa “Kuzunguruka Jangwani kwa Wana wa Israeli kwa Miaka 40”; ambavyo Safari ya “Wana wa Isis-Ra-Eli” kutokea Utumwani “Misri” ili kuelekea “Nchi ya Ahadi – Kaanani” ni lugha-alama-picha ya “Mafumbo ya Uzima” kwa kuwa “Isisi-Ra-Eli ni mambo ya JINESESIA” na tena “Arobaini katika Mzunguruko wa vile Ilivyo ni ‘Miaka’ ni metafo ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ ”. Haya yanafanya, “Isis-Ra-Eli” ni unasibu wa mtu / mwanajamii / wanajamii kwenye ‘Kukumbuka-Kujikumbuka-Kukumbuka’ katika ‘UTATU MTAKATIFU’ kwa kuwa ‘Isisi ni asili MAMA, RA ni asili MWANA na Eli ni asili ya BABA’.

Kiufundi, Falektori ya Musa ni “Fumbo la Uzima katika Kumbukumbu” kwa kuwa “Kumbukumbu la TORATI” si chochote bali ‘Miongozo’ ya kutafuta Uadilifu wa MATRIKSI; ambavyo mtu / mwanajamii / wanajamii hudumu kwenye ‘matriksi’ – ili kuwasanua hawa kuhusu “Utumwa wao” na kuwanasua na “Dhiki” zao watu wa UTU-MKUU hubidi kuwatengenezea ‘vifaa’ vya kuzindua fahamu na mafahamu yao kulingana na “UTAYARI” wao,

Kiufundi, Vifaa vya Kuzindua fahamu na mafahamu ya mtu / mwanajamii / wanajamii ni lugha ya kisaikia kwa ajili ya ‘Bahati’ ama ‘Mikosi’ ilivyo ni ‘Kinga’; ambavyo vitu vyote kama ‘alama za jadi’ na vyombo vya kufanyia ibada / Matambiko / Kafara kwa ajili ya ‘UZIMA wa Kijamii’ si chochote bali ‘Maarifa na Maarifu’ ya Utundu kwa ajili ya Mazingira na Mazingara ya Utu na Ustawi ilivyo ni UTAMADUNI…

Kiufundi, matendo yeyote yenye kufuzu ‘ibada’ ni ‘kaida’(Kiingereza > “Ritual”) na hali vitu vyote kwenye Ujamii vinavyohusiana na Ukawaida za Jamii ni ‘Ibada’ pia; ambavyo mapokeo yoyote ya kijamii ilivyo ni mila, desturi na jadi yenyewe ni ‘Ibada’ kwa ajili ya ‘Kheri’ na ‘Kutakiana Amani’ – Iwe ni ‘Maamukizi’, ‘Kuagana’, ‘Kukaribishana’, ‘Kushiriki mambo ya Epifania : Nyimbo, Ngoma, Sanaa, Michezo n,k kwa kuwa haya yote hujenga ‘Udugu’ na kuimarisha ‘Mafahamiano’…

Kwa mintarafu ya haya, kawaida ni sheria kwa kuwa chochote chenye kuchepuka nje ya kawaida iliyo ni sheria inaweza kuwa ni mwanzo wa ‘kuyumba kwa afya na msimamo wa kijamii’ ilivyo ni mikosi ama bahati; ambavyo ‘vifaa vya kuzindua fahamu na mafahamu ya mtu / mwanajamii / wanajamii’ inaweza kuwa ni ‘Zindiko’ ama ‘Hirizi’ kwa ajili ya ‘Nguvu na Utukufu’ katika mapana ya saikia ya ustawi wa jamii ili kuhodhi Manufaa fulani ya KIUTAMADUNI na MSIMAMO WAKE.

Zindiko ama Hirizi ni mambo ya ‘Kukinga’ ama ‘kuvuta bahati’ kulingana na Mazingira na Mazingara ya ‘Wanajamii-Miundo ya Utendaji-Shughuli’; ambavyo ‘Dhamira’ na ‘Nia’ inaweza kutungiwa katika ‘Ukumbaizi wa Utonali wa Kujisikia na Kuitikia’ yale yaliyo ni ‘Mashauri-Manuizo-Mafungo’. Hili lafanya ‘Zindiko ama Hirizi’ ni pia mambo yenye asili ya Undumilakuwiri wa Dhamira na Nia zetu kama Viumbe wenye Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu… Vitu kama vile michoro, maandishi, kuchongaji na ufinyanzi unaweza kudhamirika zindiko ama Hirizi…

Ulimwengu wote tunaoishi ni ‘Alama Zinazoishi’ – alama zinazoishi kwa kufuzu ule muktadha akilifu wa Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu : UTATU MTAKATIFU katika MATRIKSI; ambavyo ‘Alama zinazoishi’ zinaweza kukidhi ‘Matriksi’ ama ‘MATRIKSI’. Hili lafanya namna yeyote ya kompleksi ya UTU-NAFSI-ROHO ni Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu, Kompleksi ilivyo ni MATRIKSI, ni domaini ya ‘Matriksi’ – Mambo ya Kupungukiwa na ‘Utukufu na Utimilifu wa CHANZO / Mungu / Uungu’.

Undumilakuwili wa dhamiri na nia ndiyo muktadha akilifu wa nasibu kwa ‘Uhuru Kamili’ wa kile chenye asili ya ‘Matriksi’ ili kuwezesha uwezekano wa mawili:- (1) Matriksi yote / yoyote ifanyike yale mageuzi ili ‘Kurejea katika MATRIKSI’, ama (2) Wale wote wanaoikadirisha Matriksi yeyote wafanyike mageuzi ya kufuzu ‘kutosha’ kwenye ‘Matriksi’ ya ‘Nguvu na Utukufu Zaidi’. Hili lafanya, MAISHA-KUISHI-UISHO ni jamvi la fanusi ya Utendaji kwa ajili ya ‘Kudumu’ kwenye ‘Matriksi’ ama ‘Kushuka Kuzimu’ ama ‘Kupaa Mbinguni’

Jamvi la fanusi ya Utendaji kwa ajili ya ‘Kudumu’ kwenye ‘Matriksi’ ama ‘Kushuka Kuzimu’ ama ‘Kupaa Mbinguni’ ndiyo muktadha akilifu wa ‘Karma’ na ‘Dhamma’ katika dhamira na nia za mtu / mwanajamii / wanajamii; ambavyo kwenye mapokeo ya Ukristo mambo ya ‘Kupaa Mbinguni’ (Kiingereza > “ Ascension” ) ndiyo ‘Kuingia / Kwenda Mbinguni’; na mambo ya kuigeuza matriksi yote / yoyote ifanyike kurejea katika MATRIKSI (Kidunia > “Paradiso”) ndiyo ‘Mapenzi Kufanyika Duniani kama Mbinguni’… Hili lafanya Matriksi yote / yoyote inaweza (1) kudumu kama ilivyo, ama (2) inaweza ‘kuinuliwa Kiroho’, ama (3) ‘inaweza kudhahiri Kuzimu’; kutegemeana na mapana ya wanajamii wake kuwa wana ‘sifa-tabia-hadhi la daraja lipi la Utu’ (?) na katika kufuzu ‘Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu’ wa CHANZO / Mungu / Uungu…

Mambo ya kudumu kwenye Matriksi ama ‘Kuangukia Kuzimu’ badala ‘Kupaa Mbinguni’ ni matokeo ya ‘sifa-tabia-hadhi’ kwa daraja fulani la Utu; ambavyo mtu / mwanajamii / wanajamii wanaweza kutodhamiria ‘Utu-Wema’ ama/na ‘Mapenzi ya Kweli Duniani’ na basi kuwa mawakala wa ‘Shetani / Ushetani’ -- mawakala katika kushawishi ‘Mambo ya Machukizo na Uharibifu’ dhidi ya maendeleo ya kweli ya UTU na Ustawi wa Jamii. Hili linafanya ‘Kihoro-Mapepo-Ramli’ ni muktadha akilifu wa Ushawishi-Kushawishi-Kushawika, kupitia matendo ya Wanajamii wenye ‘Roho ya Uharibifu’ – ‘Ukumbaizi wa Utonali – utonali wa Kujisikia’ wenye kuwa na kule ‘Kujizima data kiaina’ ilivyo ni ‘Yule Muovu’…

Matendo ya Wanajamii wenye ‘Roho ya Uharibifu’ ndiyo muktadha akilifu wa ‘Roho / Pepo’ aliye ni ‘Shetani / Ibilisi’ – Muovu anayefitini ‘Mbingu na Nchi’ ili kusiwepo na UHURU Kamili / ‘Ukweli wenye Uzima Zaidi’; ambavyo mambo yale yote yenye asili kama vile ‘Mauaji / Uzinzi / Ulevi / Ulaghai n.k’ ni kazi za ‘Ufahamu Lusifa’ katika Sisi Wanajamii. Hili lafanya Roho yeyote ya Uharibifu inaweza kuaguliwa kirahisi kwa ‘sifa-tabia-hadhi ya kisomo / visomo’ juu ya mapana yake ya ‘Vekta Dhamirifu ya Utu fulani’ katika Ustawi wa Jamii – Kuwa kana kwamba ni ‘Vina vya Tafsiri’ ilivyo ni Utu wenye kudumisha ‘Rushwa’ badala ya ‘Haki’ -- kutegemeana na fursa iliyopo; yenye kufanya ‘Dhuluma’ ama ‘Kucheza Shere / Sharade / Unafiki’ kupitia ‘Hadaa za Ahadi za Neema’ na kule kuahidiana kuja-kuleta ‘Faraja baada ya Dhiki’ -- wakati mmoja hata mwingine…​
...

View: https://www.youtube.com/watch?v=Ci9TcphAlyc
 
Mosi; Pamoja na watu kulia lia maisha magumu na ni ubatili mtupu lakini maisha pia ni MATAMU plus umetimiza malengo yako.

Pili; fear of unknown na vitisho vya Kiimani kwamba kuna sehemu unakwenda baada yakufa

Tatu; Namna utakavyo kufa, ugonjwa na taabu, ajali mbaya nk nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…