Kwahyo kwa mawazo yako ambayo hayajaganda ulidhani ccm imejenga hvo viwanja?
Ccm kirumba wamejenga wao,sheikh amri abeid wamejenga wao?umoja mtwara wamejenga wao?kwa taarifa yako hvo viwanja ni vya serikali,ukawa ikiinghia madarakani vinarudi kwenye halmashauri.