Kwanini uhawara umekuwa mtamu kuliko Ndoa zao?

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Nov 26, 2016
3,695
5,531
Sina Nia wala Dhamira ya kupoteza jamii kwa kuhalalisha haramu kuwa halali,na halali kuwa haramu ,Hapana !

Lengo langu ni kuwekana sawa na ikiwezekana kurudishana kwenye mstari,

Na hatuwezi kurudishana kwenye mstari bila kwanza kuanza kuambiana kuwa tumetoka katika mstari,
Napia kujua kwanza kwanini tunatoka katika mstari,
Na nini kifanyike ili turudi kwenye mstari,

Leo Wanaume wengi japo sio wote wamekuwa wakienjoy sana mapenzi kutoka kwa mawara ,kulikoni hata wake zao wandoa ,na wengi wamekuwa wakihudumia nyumba ndogo na kuwanunulia vitu vya thamani kulikoni hata wake zao.

Unakuta mtu yuko radhi mke apande daladala ila si kimada..

Pia mahawara ni rahisi kudumu kuliko wana ndoa .mimi nilishuhudia jamaa wangu wa karibu aliishi na mwanamke miaka kumi ila walipokuja kuowana wakaachana hawakudumu hata miezi sita...

sasa huwa nashindwa elewa kunanini hapa kwenye uhawara na kuna tatizo gani hasa kwenye ndoa ?

maana hata mabint ataonyesha kukutii kwa kila jambo na msikivu kabla ya ndoa ila ukishamuowa tu ,basi ataanza kuonyesha makucha yake.

Hata wanaume nao wamekuwa na maneno matamu na majina mazuri kipindi cha uhawara ila akishakuowa na kukuweka ndani basi majina huanza kubadilika,

Kama alikuwa akikwita sweet na majina mengine mbali mbali au kukusifu una akili ,lakini ukishakuwa ndani kila siku atakutoa akili na kukuita majina ya ajabu ajabu,zikiwemo kejeli na matusi.


Ni wapi tunakosea kama wanadamu,iweje jambo la heri liwe baya kwetu na jambo ambalo ni la kishetani tuwe tunalipenda na kuliabudu?

Ndoa ilotakiwa iwe tamu na uhawara uwe mchungu. ila uhawara umekuwa Asali na ndoa nyingi zimekuwa shubiri..

Wapi tunakosea tujisahihishe?
 
Hivi ukiangalia avatar ya miss_blossom zile papai zake zilivyojaa vzr hupati hamu ya kuzila?!



Is it jst me or?!
 
Sina Nia wala Dhamira ya kupoteza jamii kwa kuhalalisha haramu kuwa halali,na halali kuwa haramu ,Hapana !

Lengo langu ni kuwekana sawa na ikiwezekana kurudishana kwenye mstari,

Na hatuwezi kurudishana kwenye mstari bila kwanza kuanza kuambiana kuwa tumetoka katika mstari,
Napia kujua kwanza kwanini tunatoka katika mstari,
Na nini kifanyike ili turudi kwenye mstari,

Leo Wanaume wengi japo sio wote wamekuwa wakienjoy sana mapenzi kutoka kwa mawara ,kulikoni hata wake zao wandoa ,na wengi wamekuwa wakihudumia nyumba ndogo na kuwanunulia vitu vya thamani kulikoni hata wake zao.

Unakuta mtu yuko radhi mke apande daladala ila si kimada..

Pia mahawara ni rahisi kudumu kuliko wana ndoa .mimi nilishuhudia jamaa wangu wa karibu aliishi na mwanamke miaka kumi ila walipokuja kuowana wakaachana hawakudumu hata miezi sita...

sasa huwa nashindwa elewa kunanini hapa kwenye uhawara na kuna tatizo gani hasa kwenye ndoa ?

maana hata mabint ataonyesha kukutii kwa kila jambo na msikivu kabla ya ndoa ila ukishamuowa tu ,basi ataanza kuonyesha makucha yake.

Hata wanaume nao wamekuwa na maneno matamu na majina mazuri kipindi cha uhawara ila akishakuowa na kukuweka ndani basi majina huanza kubadilika,

Kama alikuwa akikwita sweet na majina mengine mbali mbali au kukusifu una akili ,lakini ukishakuwa ndani kila siku atakutoa akili na kukuita majina ya ajabu ajabu,zikiwemo kejeli na matusi.


Ni wapi tunakosea kama wanadamu,iweje jambo la heri liwe baya kwetu na jambo ambalo ni la kishetani tuwe tunalipenda na kuliabudu?

Ndoa ilotakiwa iwe tamu na uhawara uwe mchungu. ila uhawara umekuwa Asali na ndoa nyingi zimekuwa shubiri..

Wapi tunakosea tujisahihishe?
Mechi za kirafiki tamu ww
 
Sina Nia wala Dhamira ya kupoteza jamii kwa kuhalalisha haramu kuwa halali,na halali kuwa haramu ,Hapana !

Lengo langu ni kuwekana sawa na ikiwezekana kurudishana kwenye mstari,

Na hatuwezi kurudishana kwenye mstari bila kwanza kuanza kuambiana kuwa tumetoka katika mstari,
Napia kujua kwanza kwanini tunatoka katika mstari,
Na nini kifanyike ili turudi kwenye mstari,

Leo Wanaume wengi japo sio wote wamekuwa wakienjoy sana mapenzi kutoka kwa mawara ,kulikoni hata wake zao wandoa ,na wengi wamekuwa wakihudumia nyumba ndogo na kuwanunulia vitu vya thamani kulikoni hata wake zao.

Unakuta mtu yuko radhi mke apande daladala ila si kimada..

Pia mahawara ni rahisi kudumu kuliko wana ndoa .mimi nilishuhudia jamaa wangu wa karibu aliishi na mwanamke miaka kumi ila walipokuja kuowana wakaachana hawakudumu hata miezi sita...

sasa huwa nashindwa elewa kunanini hapa kwenye uhawara na kuna tatizo gani hasa kwenye ndoa ?

maana hata mabint ataonyesha kukutii kwa kila jambo na msikivu kabla ya ndoa ila ukishamuowa tu ,basi ataanza kuonyesha makucha yake.

Hata wanaume nao wamekuwa na maneno matamu na majina mazuri kipindi cha uhawara ila akishakuowa na kukuweka ndani basi majina huanza kubadilika,

Kama alikuwa akikwita sweet na majina mengine mbali mbali au kukusifu una akili ,lakini ukishakuwa ndani kila siku atakutoa akili na kukuita majina ya ajabu ajabu,zikiwemo kejeli na matusi.


Ni wapi tunakosea kama wanadamu,iweje jambo la heri liwe baya kwetu na jambo ambalo ni la kishetani tuwe tunalipenda na kuliabudu?

Ndoa ilotakiwa iwe tamu na uhawara uwe mchungu. ila uhawara umekuwa Asali na ndoa nyingi zimekuwa shubiri..

Wapi tunakosea tujisahihishe?
Mechi za kirafiki tamu ww
 
imana wake zetu wamejisahau ? mkuu maana ukichunguza wako tofauti na enzi zile tunawachumbia
Wakat unamchumbia n
Wako pekeako ila ukisha
Muweka ndan n wa wote ila
Ujue tu n ngumu kuwajua
Wenzio
 
Mkuu hizi mada zako, kuna dada mmoja ninakumbuka wakati huo niko six yeye alikua anafanya kazi BOT, alikuwa staff wa kawaida tu lakini aliweza kuwapanga. Aliyenunua kiwanja siye aliyejenga msingi, na aliyejenga msingi si aliyepandisha nyumba na aliyepaua ni mwingine.

Dada alikua mzuri, guu chupa ya bia, na namba zake zilikuwa si za kitoto wote vibosi flani. Alihakikisha anaekwenda kwake kwanza anapewa maji aoge, akishaoga anapewa upande wa khanga ajifunge alafu bibie anakwenda kuoga nae anajifunga upande wa pili wa khanga ile ile. Mwanaume anawekewa chakula kwenye mkeka wali na samaki anatolewa miba na kulishwa analishwa. Shurti kwa juice ya kutengeneza ya maembe au nanasi.

Basi anasema mkewe atakua na muda wa kufanya haya. Lakini hayo yote mdada yake yakifanikiwa mwanaume anatolewa nduki. Katika wale wanaume hakuna anaeweza kusema nilijenga nyumba.
 
Wakat unamchumbia n
Wako pekeako ila ukisha
Muweka ndan n wa wote ila
Ujue tu n ngumu kuwajua
Wenzio
kwani kweny uchumba mkuu unauhakika gani wako peke yako mbona napo huwa tunapangwa sana foleni na yule wa kwanza ni yule alotangaza ndoa
 
Back
Top Bottom